RUCCI
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 1,702
- 1,716
Maafisa wa TRA wamebisha hodi kufanya ukaguzi, inasemekana wanatuhumiwa kukwepa kodi.
===================
KANUSHO
Naomba kukanusha habari zilizotolewa JamiiForums kwamba Serena Hotel imefungwa na TRA kwa kukwepa kodi.
Hotel inafanyiwa ukarabati kuanzia mwezi huu lakini huduma zitaendelea kama kawaida.