DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Kwa sababu wali-host midahalo na mijadala iliyokuwa mwiba kwa serikali?
Ile press conf ya Dr Slaa ilikuwa mwiba kwa Serikali au Chaggadema?
Kwa sababu wali-host midahalo na mijadala iliyokuwa mwiba kwa serikali?
Kwa sababu wali-host midahalo na mijadala iliyokuwa mwiba kwa serikali?
Dah jamaa katuuza?Huyu mleta mada muongo tena sana mm jana nilikua hapo hotel inafanya kazi hiyo walieka tepe panajengwa wacha kuupotosha umma
ndo maana wapiga deal za magumashi kama kina@Faizafoxy kutwa walikuwa wanamtetea mzee wa msoga eti bonge la president,eti tutamkumbuka milele
Kwa sababu wali-host midahalo na mijadala iliyokuwa mwiba kwa serikali?
Huyu mleta mada muongo tena sana mm jana nilikua hapo hotel inafanya kazi hiyo walieka tepe panajengwa wacha kuupotosha umma
WAKAGULIWE / WALIPE KIDOGO KIDOGO OTHERWISE HII FUNGAFUNGA INAWEZA SABABISHA MDORORO WA KIUCHUMI.
IMAGE
*******
HOTEL IMEFUNGWA WAFANYAKAZI NA FAMILIA ZAO WAKOJE?
n.b/ walipishwe kidogo kidogo / UZEMBE NI WA AWAMU YA 4.KWA KUTOKUWA MAKINI.
WAKAGULIWE / WALIPE KIDOGO KIDOGO OTHERWISE HII FUNGAFUNGA INAWEZA SABABISHA MDORORO WA KIUCHUMI.
IMAGE
*******
HOTEL IMEFUNGWA WAFANYAKAZI NA FAMILIA ZAO WAKOJE?
n.b/ walipishwe kidogo kidogo / UZEMBE NI WA AWAMU YA 4.KWA KUTOKUWA MAKINI.
Sipati picha!!!!!!!!!!!!
ina maana TRA miaka yote ya awali kabla ya kuingia madarakani awamu ya tano walikuwa wanakula mishahara mikubwa pasipo kufanya kazi!!!!!!!!!!!!!
Ingelikuwa nina amri ningewafunga jela wote wafanyakazi wa TRA. Endapo kama magereza hayatoshi kuwajaza wote wafanyakazi TRA, ningetumia na Uwanja wa SABASABA DSM pamoja na Uwanja wa Taifa kuwasweka ndani!!!!!!!
Wap mbavu sana hawa!!!!!!!!
na wataokutwa wakilana mzigo bila kibali
cha ndoa (cheti cha ndoa) , wapigwe faini
ya papo kwa hapo.