Serena Hoteli matatani, TRA wavamia (ufafanuzi)

Serena Hoteli matatani, TRA wavamia (ufafanuzi)

Status
Not open for further replies.
Ifike kipindi watanzania tuwe tunatumia akili tuu ya Kuzaliwa tuache Udaku na Majungu hivi kwa akili ya kawaida mtu unashindwa kutofautisha kati ya Ribbon Nyekundu na Zile za njano na mnakuja na Umbea oh Serena sijui iko Chini ya Ulinzi oh! wengine eti wamepigwa no fly zone hajui hata maana ya ilo neno

Nijuavyo mimi ribbon nyekundu ndo zinaonesha ishara ya Ujenzi/rehabilitation/maboresho na Ribon za njano ndo huonesha don't cross na mara nyingi huwa katika sehemu ambayo tukio baya limefanyika


Kwanini watanzania mmekua wadaku hivi? ni bora sisi wenye sifa ya wizi na udokozi kuliko nyinyi mnaotaka kuhatarisha amani ya nchi kwa Udaku.

Mimi mbona nipo chumba number 97 nimepumzika sijaona cha TRA wala nini acheni Umbeya. hapa nataka niende kwenye swimming pool.
 
Wakuu kwa wale mliopo dar tunaomba mtupe ukweli wa jambo hili nasikia serena hotel imefungwa na maafisa wa TRA kwa kukwepa kodi mliopo huko tunaomba mtujuze ukweli wake.
 
Nilikuwepo last week walisema wana mpango wa kufanya marekebisho makubwa ya ujenzi wa Hotel na miundo mbinu. Nisijue kama ilikuwa style ya kuaga kiaina au ndo njia ya kuondokea?
 
Wakuu kwa wale mliopo dar tunaomba mtupe ukweli wa jambo hili nasikia serena hotel imefungwa na maafisa wa TRA kwa kukwepa kodi mliopo huko tunaomba mtujuze ukweli wake.
wewe upo ccm hivyo utakuwa unafahamu
 
Kumekucha,,

Hatimaye Magufuli ametia kufuri hapo serena hotel dar es salaam kutokana na malimbikizo ya kodi na ukwepaji kodi.

picha zinakuja
 
hivi hao SERENA ndo walikuwa MOVENPICK, na waliwahi jiita ROYAL PALM baada ya kubadili toka SHERATON
 
SI wamepewa siku 7❔❔➖nadhani sio sahihi kwa sasa❔
 
Siku 7 kama unahusika na ukwepaji kodi kwenye makontena,,,,haihusu hawa wakwepa kodi papa wanaojiita mara Serena,,mara Movenpick
 
wanafanya renovation mkuu hata hivyo upande wa kivukoni bado unatumika
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom