Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 17,121
- 55,083
Changamoto za wabongo njaa, wivu na nyege alisema Madenge.
Hako kamzizi tukatafutie mtu tuwekeze mama, nipo tayari kutoa mtaji na wewe utakuwa managing director.Sawa nimekubali, tangaza!
Mtu tena babu? Mwenzako nataka pesa🫢Hako kamzizi tukatafutie mtu tuwekeze mama, nipo tayari kutoa mtaji na wewe utakuwa managing director.
Umelewa tukuache🙌🏾Hii pisi ni vitu vyangu kabisa.... Huyu hata tukizikwa kaburi 1 bado tutaendelea kuenjoy
Hapana kipenzi😍Umelewa tukuache🙌🏾
Yaani, una nyota ya mafanikio, nipo tayari kutoa pesa, wewe utaendesha biashara😅😅Mtu tena babu? Mwenzako nataka pesa🫢
Hebu lete hizo pesa tufanye kazi babu🤭Yaani, una nyota ya mafanikio, nipo tayari kutoa pesa, wewe utaendesha biashara😅😅
Pesa haitolewi hivyo mjukuu!Hebu lete hizo pesa tufanye kazi babu🤭
Yamekuwa hayo tena🤯Pesa haitolewi hivyo mjukuu!
Hakuna kitu kigumu kama kutoa pesa kwenye mfuko wa mtu, si unajua eenh!Yamekuwa hayo tena🤯
Dahh! Kwahiyo tunafanyaje sasa?Hakuna kitu kigumu kama kutoa pesa kwenye mfuko wa mtu, si unajua eenh!
Kichaa cha jf tu hakuna kipya!Kwanini watu wengi wanafungua uzi wa kumpenda seran?
wanaokufungulia nyuzi wakupee ela ya bando kusoma ujinga wao 😆Angekuwa anaeleweka pia asingeleta uzi humu![emoji706]
Leo umenikosha sana! Wanipe pesaa Wananipa kibarua kizito cha kuelewesha watu kuwa sijajifungulia uzi😁wanaokufungulia nyuzi wakupee ela ya bando kusoma ujinga wao [emoji6]
Let's strike a deal ma'am!Dahh! Kwahiyo tunafanyaje sasa?