Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,094
- 84,540
Unatoa code sio?😁Simple tuu, jenga mazoea na mtu kupitia comments, then mkizoeana Huko itakuwa rahisi kukufungulia pm na mtaongea private kuliko kuja kuanzisha mada za kipuuzi kama hizi.
Ndo njia simple na inayofanya kazi kwa 100%Unatoa code sio?😁
Atatafuta id nyingine aanzishe tu hakuna jinsi! Na wakiendelea hivi wataanza kunilipa nyoko zao!Imagine jamaa anakuanzishia uzi anakupenda, afu anakuta unamuita msenge 😂
Umenipa mbinu ntaiapply mahala, ngoja!🤔Ndo njia simple na inayofanya kazi kwa 100%
Wanaokutamani kazi wanayo 😂Atatafuta id nyingine aanzishe tu hakuna jinsi! Na wakiendelea hivi wataanza kunilipa nyoko zao!
Em jaribu kwangu kama itafanya kaz vzr 😎Umenipa mbinu ntaiapply mahala, ngoja!🤔
Nyege mbaya sana zisikie kwa mwenzio tuUkikubali tu kesho natangaza ndoa na wewe
Ngoja kuna dogo mmoja hivi, ikitiki nahamia kwako😎Em jaribu kwangu kama itafanya kaz vzr 😎
Foleni au sio 😎Ngoja kuna dogo mmoja hivi, ikitiki nahamia kwako😎
Sasa dogo mmoja tu ndio unakosa subra mchumbaa😎Foleni au sio 😎
Kwani kuna shido?🫢Ukute bibi harusi mwenyewe yupo hivi 😅
Kwani kuna shido?🫢
Bc nasubir 😎Sasa dogo mmoja tu ndio unakosa subra mchumbaa😎
Angekuwa anaeleweka pia asingeleta uzi humu!🚮Kwa mleta mada 😁
Si kweli, sipati hata mia🤔Seran mganga wako hadanganyi🤣