Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,101
- 2,712
Watanzania wanajua rais wanayemtaka. Wanataka rais ambaye ata- sacrifice maisha yake kulinda rasilmali za nchi lakini hapa tunaye rais anayeongea kuhusu maridhiano na anawawezesha watu kuiba tena.
Si ndio maana watu walikuwa wanauliza kama mwanamke anaiweza hii kazi ya urais. Rais hachaguliwi ili aonyeshe jinsi alivyokuwa na huruma. Rais anapaswa kutenda haki.
Tunataka maridhiano au tunataka rasilmali za nchi ziwe salama? Again tunasema,rais anafanya mambo mengi mechanical. Anapanga safu yake lakini kazi inakuwa too intimidating. Kama wamemdukua Mwendazake,watanishindwa mimi?
Ndio hapa watu wanakwama. Wanasema kazi iendelee lakini kazi haiendelei. Watu wanakamatwa red-handed tunaambiwa wakae kando wapishe uchunguzi,watu ambao Magufuli angewashughulikia papo kwa papo,mbele ya watu wengi wanamshangilia.
Si ndio maana watu walikuwa wanauliza kama mwanamke anaiweza hii kazi ya urais. Rais hachaguliwi ili aonyeshe jinsi alivyokuwa na huruma. Rais anapaswa kutenda haki.
Tunataka maridhiano au tunataka rasilmali za nchi ziwe salama? Again tunasema,rais anafanya mambo mengi mechanical. Anapanga safu yake lakini kazi inakuwa too intimidating. Kama wamemdukua Mwendazake,watanishindwa mimi?
Ndio hapa watu wanakwama. Wanasema kazi iendelee lakini kazi haiendelei. Watu wanakamatwa red-handed tunaambiwa wakae kando wapishe uchunguzi,watu ambao Magufuli angewashughulikia papo kwa papo,mbele ya watu wengi wanamshangilia.