Sera Mpya ya ardhi, Kaburi jipya la CHADEMA

Sera Mpya ya ardhi, Kaburi jipya la CHADEMA

Mbona hiyo Sera ya ccm madini yanamilikiwa na na viongozi wachache kwa mgongo was selikari??
Kwa hiyo kama ccm wanasera mbovu zaidi tusihoji sera za Chadema zenye utata.
 
Hivi mkuu Idawa ardhi kitu gani bwana kwa mwanachi wa kawaida mpaka uanzishe uzi kwa kupanic? Nina hakika wazazi wako huko kijijini wanamiliki ardhi lakini wana umasikini wa kutupa. Utakuta kila mara wanakubeep uwatumie hela ya matumizi ww unayekaa nyumba ya kupanga hapa mjini. Ukiona mwanachi anamiliki ardhi ni kwakuwa haina la maana vinginevyo serekali ingeshampora. Hao cdm wameshaona hiyo tabia ya wananchi kuporwa ardhi yenye maana, wanatengeneza ushawishi wapate kura kisha wakishapata madaraka wataweka utaratibu mzuri wa hiyo ardhi iwapo ina raslimali.
Bulyankhulu serikali ilifukia watu mgodi akapewa mzungu mrahaba 3%, ambayo 50% ya 3$ ilichukuliwa na Alex Stewart, (mkapa yona, mramba) hao wananchi mnaosemea lini walinufaika na aridhi?
 
Bulyankhulu serikali ilifukia watu mgodi akapewa mzungu mrahaba 3%, ambayo 50% ya 3$ ilichukuliwa na Alex Stewart, (mkapa yona, mramba) hao wananchi mnaosemea lini walinufaika na aridhi?
Kwa hapo tatizo ni sera usimamiaji wa sera na taratibu husika.

Tatizo la Tanzania kwa kiasi kikubwa linasababishwa na viongozi tuliopa dhamana.
 
Hiyo serikali wataipata wapi ili wagawe ardhi hovyo tu
Eti kilichomo juu na chini yake.mnampa mtu ekari elfu mbili bada ya mwezi anagundua mafuta eneo lote,kwa akili ya chadema na sera yao uchwara,huyo mtu hayo mafuta yatakua yake yote
 
Hiyo serikali wataipata wapi ili wagawe ardhi hovyo tu
Eti kilichomo juu na chini yake.mnampa mtu ekari elfu mbili bada ya mwezi anagundua mafuta eneo lote,kwa akili ya chadema na sera yao uchwara,huyo mtu hayo mafuta yatakua yake yote
Sera yao inachamoto nyingi sana, kuna baadhi ya maeneo nchini wananchi wanaoishi lakini wanajua chini yao ku a madini ya kutosha .
 
Sera yao inachamoto nyingi sana, kuna baadhi ya maeneo nchini wananchi wanaoishi lakini wanajua chini yao ku a madini ya kutosha .
Yote hii ni kupinga kila kitu
Itafikia wakati kwa sera hiyo,serikali haina kitu,migodi ipo kwa mbowe,Ardhi yote yenye gesi ni mali ya mrema,ardhi yote yenye mafuta ni mali ya mrema,hapo tena tutakua tumeisha zaidi ya Zambia
 
Yote hii ni kupinga kila kitu
Itafikia wakati kwa sera hiyo,serikali haina kitu,migodi ipo kwa mbowe,Ardhi yote yenye gesi ni mali ya mrema,ardhi yote yenye mafuta ni mali ya mrema,hapo tena tutakua tumeisha zaidi ya Zambia
Mkuu kuhusu uchumi wa Zambia usinitoneshe kidongo.... Mimi mwenyewe ni mhanga wa anguko la uchumi wa Zambia....
 
Yote hii ni kupinga kila kitu
Itafikia wakati kwa sera hiyo,serikali haina kitu,migodi ipo kwa mbowe,Ardhi yote yenye gesi ni mali ya mrema,ardhi yote yenye mafuta ni mali ya mrema,hapo tena tutakua tumeisha zaidi ya Zambia
Sawa tu mbona dhahabu ni ya mkapa, gesi ni ya kikwete, huyu kichaa naye hatujui atajimilikisha nini?, we gesi na Dhahabu vinakunufaisha nini kwa Sera ya umilikiwa selikari/ mwekezaji???
 
Ili uwasaidie wafuatiliji wa hii mada ulipaswa kuonyesha wapi pana uongo,wapi kuwa ukweli.
Lakini kupiga porojo bila kuanisha nini unakipinga ni uwenda wazimu.
Wakina Saro Wiwa waliuliwa na serikali ya abacha kwa sababu gani?
Samahani mkuu!
Huna haja ya kutumia matusi. Hivi Sarowiwa aliuawa na serikali kwa sababu ya kupinga mkataba wa kampuni na mwenye ardhi?

Tukianzia hapa ninaamini tutaenda vizuri.
 
Kwa hiyo kama ccm wanasera mbovu zaidi tusihoji sera za Chadema zenye utata.
Mkuu Idawa nakuheshimu sana, nakubali hoja zako, kinachoumiza ni pale makaburi ya babu zako yatafukuliwa ili kupisha wanasiasa walafi pamoja na makuwadi wao kujimilisha madini kwa mgomgo wa serilikari,
Kamsome vizuri Prof. Seith Chachage kwenye kitabu cha " makuwadi wa soko huria"
 
Samahani mkuu!
Huna haja ya kutumia matusi. Hivi Sarowiwa aliuawa na serikali kwa sababu ya kupinga mkataba wa kampuni na mwenye ardhi?

Tukianzia hapa ninaamini tutaenda vizuri.
Nashukuru kwa kumwelekeza
 
Mkuu Idawa nakuheshimu sana, nakubali hoja zako, kinachoumiza ni pale makaburi ya babu zako yatafukuliwa ili kupisha wanasiasa walafi pamoja na makuwadi wao kujimilisha madini kwa mgomgo wa serilikari,
Kamsome vizuri Prof. Seith Chachage kwenye kitabu cha " makuwadi wa soko huria"
Kwa tujimilikishe kabla hawajajimilikisha.... ? Au sijakuelewa Mkuu.
 
Kwa sasaivi madini yakiwa ardhini ni mali ya watanzania, mwekezaji akishapewa leseni akiyachimba ni mali yake si ya wanachi tena. Hii unadhani imekaa sawa? Naamini hao chadema wana ufafanuzi wa kina kabisa kufafanua hii sera yao.
Kizazi kijacho kijihangaikie .!?
 
Na sidhani km kuna mtu anaunga mkono kin kinachofanyika sasa hivi, mfano madini yakigundulika mahali fulani basi wanaondolewa anapewa bepari. Naamini hii sera yao ni ya kuwafanya watanzania wamiliki kwa 100% rasilomali zao na kufaidika. Na ieleweke kuwa kwa sasa madini yakiwa ardhini ni mali ya watanzania lkn mwekezaji akishapewa leseni yakachimbwa ni mali yake na mwananchi hana lake. Naamini hii sera yao inalenga kumnufaisha mwanachi /watanzania. Na sifikiri kwamba eti pale penye madini mwenye shamba au kiwanja ndio atamiliki yeye,yani ni mali yake. Kuwaza hivi ni kuchanganua mambo kwa upeo mfupi.
 
Kwa sasaivi madini yakiwa ardhini ni mali ya watanzania, mwekezaji akishapewa leseni akiyachimba ni mali yake si ya wanachi tena. Hii unadhani imekaa sawa? Naamini hao chadema wana ufafanuzi wa kina kabisa kufafanua hii sera yao.
Wakati wa spika Sitta aliwahi kusisitiza kwamba linapokuja suala la kumhamisha mtu kwa sababu ya madini ile compasation anayopewa inabidi izingatie na thamani ya kile kilichopo ardhini kwani bila hivyo atafidjwa nyumba na mazao yaliyopo awnde kusjkojulikana ambako pia haijulikani atapata kwa gharama gani.

Kwa kifupi ni kwamba, sheria ya sasa inawamasikinisha wale ambao madini yanagunduliwa kwenye ardhi zao. Ama ndo tuite ni resource curse?

Tuchambue suala hili kwa utulivu kwa manufaa ya Tanzania na Watanzania wake.
 
"2. USIMAMIZI WA ARDHI: Chadema itaanzisha mfumo wa umiliki wa ARDHI ambapo kila MWANANCHI atamiliki ardhi na rasilimali zake JUU na CHINI ya ARDHI hiyo. TOFAUTI na CCM, Chadema HAKIAMINI katika KUFUKUZA watanzania kwenye ARDHI YAO kufuatia UGUNDUZI wa MADINI."
===========================

Chadema hili swala la ardhi litawamaliza, Kama Baba wa Taifa angefuata hii sera yenu leo kungekuwa na mtu mmoja mwenye uwezo wa kumiliki mkoa mzima na kila kitu kilichomo ndani yake.

Naona mnataka kutupeleka Zimbabwe kwa hii sera yenu.

View attachment 880155
Mpaka leo ndugu bad unamuwaza Slaa
Mwenzio ni Balozi wee endelea kuamini atakuja kukuongoza
 
Back
Top Bottom