Sera Mpya ya ardhi, Kaburi jipya la CHADEMA

Sera Mpya ya ardhi, Kaburi jipya la CHADEMA

Wakati wa spika Sitta aliwahi kusisitiza kwamba linapokuja suala la kumhamisha mtu kwa sababu ya madini ile compasation anayopewa inabidi izingatie na thamani ya kile kilichopo ardhini kwani bila hivyo atafidjwa nyumba na mazao yaliyopo awnde kusjkojulikana ambako pia haijulikani atapata kwa gharama gani.

Kwa kifupi ni kwamba, sheria ya sasa inawamasikinisha wale ambao madini yanagunduliwa kwenye ardhi zao. Ama ndo tuite ni resource curse?

Tuchambue suala hili kwa utulivu kwa manufaa ya Tanzania na Watanzania wake.
Sheria za ardhi za Tanzania tofauti Na kenya Tanzania humiliki ardhi unachomiliki ni kile ulichowekeza juu ya ardhi kama mazao,majengo nk sio kama kenya mtu anazungushia fence eneo la Eka elfu moja anasema lake wakati hajawekeza chochote juu ya hiyo ardhi si kilimo Wala majengo Na kuwanyima wengine ambao wangeiwekeza kitu
 
Sheria za ardhi za Tanzania tofauti Na kenya Tanzania humiliki ardhi unachomiliki ni kile ulichowekeza juu ya ardhi kama mazao,majengo nk sio kama kenya mtu anazungushia fence eneo la Eka elfu moja anasema lake wakati hajawekeza chochote juu ya hiyo ardhi si kilimo Wala majengo Na kuwanyima wengine ambao wangeiwekeza kitu
Sijui umesema nini!
 
Sijui umesema nini!
Hujaelewa madini yakiwa ardhini kwako sio wewe uliyeyaweka ukichoweka kwenye ardhi kama majengo ,mazao nk ndio yako huwezi dai kuwa madini,mafuta au maji yaliyo chini ya ardhi yako kuwa ni Mali yako.Ikija fidia unafidiwa kile ulichowekeza sio alichowejeza Mwenyezi Mungu.Umiliki wako ni wa Yale yaliyo juu ya ardhi uliyowekeza
 
Hujaelewa madini yakiwa ardhini kwako sio wewe uliyeyaweka ukichoweka kwenye ardhi kama majengo ,mazao nk ndio yako huwezi dai kuwa madini,mafuta au maji yaliyo chini ya ardhi yako kuwa ni Mali yako.Ikija fidia unafidiwa kile ulichowekeza sio alichowejeza Mwenyezi Mungu.Umiliki wako ni wa Yale yaliyo juu ya ardhi uliyowekeza
Hivi inawezekana mtu kuhamishwa na kupata eneo jingine bila malipo na maisha yakaendelea kama mwanzo?

Hivi ushawahi kukutana na familia iliyohamishwa kupisha migodi na ukajua wanapitia hali gani?

Hivi unadhani kwako au kwenu hili haliwezitokea?

Hivi umejiridhisha vya kutosha kuhusu sera hiyo ya CDM na umejua pasi na shaka utekelezaji na athari zake?

Usiku mwema mkuu
 
"2. USIMAMIZI WA ARDHI: Chadema itaanzisha mfumo wa umiliki wa ARDHI ambapo kila MWANANCHI atamiliki ardhi na rasilimali zake JUU na CHINI ya ARDHI hiyo. TOFAUTI na CCM, Chadema HAKIAMINI katika KUFUKUZA watanzania kwenye ARDHI YAO kufuatia UGUNDUZI wa MADINI."
===========================

Chadema hili swala la ardhi litawamaliza, Kama Baba wa Taifa angefuata hii sera yenu leo kungekuwa na mtu mmoja mwenye uwezo wa kumiliki mkoa mzima na kila kitu kilichomo ndani yake.

Naona mnataka kutupeleka Zimbabwe kwa hii sera yenu.

View attachment 880155

Totally un-related issues!

Mzee unachanganya madesa kama kawaida ya ma-CCM!

Halafu ndio tumewapa nchi muongoze maisha yetu!

Tumefanya makosa tangu 1961 and counting......what a curse!
 
Mkuu unamaanisha hiyo Sera ni Ulaghai haitatekelezwa kama ilivyoandikwa, shida ni kupata kura mkishapata mnawageuka mliowaaidi kuhusu hiyo sera.

Kutakuwa na tofauti gani nyie na ccm walioaidi milioni hamsini kila kijiji halafu baadaye wakasema zitaletwa kwa mfumo tofauti na sio kashi kama walivyoaidi.

Au ndio yale yale Lowassa fisadi akiwa CCM yupo Chadema mtakatifu.

Ninarudia tena bwana Idawa hao wanaoitwa wananchi hawana maamuzi yotote bali hufuata chochote watakacho viongozi. kumbuka sera ni jambo moja, lakini utekelezaji ni jambo jingine. Kama lengo lako ni kupotosha sio mbaya kwani ndio demokrasia na hili linakubalika kuwa na hoja kinzani.

Huo mfano wa Lowassa akiwa ccm fisadi lakini akiwa cdm msafi, huenda umeutumia ili kuzipa nguvu hoja zako kwa ujimla wake. Lakini kama huo utetezi wako umejikita kwenye msimamo wangu, basi msimamo wangu kuhusu Lowassa haujawahi kubadilika toka akiwa ccm hadi sasa akiwa cdm. Si vibaya ukiwa utaona sawa kufuta eneo hilo kwani halikubebi kwenye msimamo wangu.
 
Jamaa umekurupuka sana ungeisoma ukaielewa
"2. USIMAMIZI WA ARDHI: Chadema itaanzisha mfumo wa umiliki wa ARDHI ambapo kila MWANANCHI atamiliki ardhi na rasilimali zake JUU na CHINI ya ARDHI hiyo. TOFAUTI na CCM, Chadema HAKIAMINI katika KUFUKUZA watanzania kwenye ARDHI YAO kufuatia UGUNDUZI wa MADINI."
===========================

Chadema hili swala la ardhi litawamaliza, Kama Baba wa Taifa angefuata hii sera yenu leo kungekuwa na mtu mmoja mwenye uwezo wa kumiliki mkoa mzima na kila kitu kilichomo ndani yake.

Naona mnataka kutupeleka Zimbabwe kwa hii sera yenu.

View attachment 880155
 
Back
Top Bottom