Wasiwasi wangu ni kwamba kuanzia kesho kuna special task ntakua nafanya kutoka job samoja hadi mbili sasa itakuaje??!
Hapo pagum mkuu wangu.
Lakini mkuu unaishi peke yako? Alafu sijajuwa kama uanaweza jipeleka kwa balozi akakuwakilisha, sijajuwa taratibu zikoje hapo.
Any way, tutahesabiwa tu, nadhani na wale wengine wakuunge mkono nao waone uchungu kama wewe, wasijifiche kwenye nyumba za ibada. Jamani kuhesabiwa ni haki yetu ya msingi. Nitahakikisha nahesabiwa, ole wao wasije kwangu watanitambua lazima nikinukishe kwa kuninyima haki yangu na kula kodi yangu bila kufanya kazi na kutimiza wajibu wao.