Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
tena hovyo kabisa!Tanganyika kubwa jinga
tena hovyo kabisa!Tanganyika kubwa jinga
Huchelewi kusikia Mo Dewji anunua kikosi chote cha Zanzibar Heroes. Pesa banaHuko mitaani tutaikoga matusi hadi basi. Kumbe Urojo ukiachwa unakuwa zege.
Kuna kitu gani nimekisema hakiko sawa ktk hiyo comment yangu mpaka umetoka povu zito kiasi hiki ukeni mwako??Wewe ndio fala sana kaka mkubwa hajui kuucheza tangu enzi hizo ila mdogo alidharauliwa hakupewa nafasi. Mdogo miaka yate ndie Brazil wa Africa Mashariki anatandaza safi sana. Hallafu unabana pua kama umepakatwa
Wacha ujinga wako wewe, Zanzibar ni nchi na kule Kenya wamekwenda na bendera yao na wimbo wao wa Taifa.
Yule mzungumza english ya kung'ata ulimi katoka kufundisha under 13 hull city kaja kupewa kina mkude eti anajisifu kaleta diamond formation, idiot
Until next time atafanya poa tumpe mdaYule mzungumza english ya kung'ata ulimi katoka kufundisha under 13 hull city kaja kupewa kina mkude eti anajisifu kaleta diamond formation, idiot
HahhahahaWaliona wajitoe ili kuunga juhudi za Zanzibar kufanya vizuri....
Dah! Tena afanye haraka sana. Asisahau kumnunua mganga wao pia. Teh teh tehHuchelewi kusikia Mo Dewji anunua kikosi chote cha Zanzibar Heroes. Pesa bana
Ammi..asanteYakhee hongereni!
lengo ni kuuonesha ulimwengu kwamba hata world cup tunaweza,ni vyenye hatujapewa fursa tu.
Sasa wanastahili kuwa wanachama wa CAF na FIFA.....
What about wales,scotland,northern ireland,hong kong etcWakitaka kupewa uanchama wa FIFA wanatakiwa kuwa na taifa lao
What about wales,scotland,northern ireland,hong kong etc