kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,050
- 7,051
Zanzibar wangekua mbali sana FIFA.
"Hacha" ndio nini?Hacha fitina mkuu.....tuwapongeze kwa hatua hiyo adhimu iliyowashinda taifa tangu tupate uhuru.........
Lugha ya kiurojo hiyo"Hacha" ndio nini?
Mkuu zanzibar haina sifa ya kuwa mwanachama Fifa si ushabiki bali ni uhalisia.
Ndani ya fifa kuna mwanachama Tanzania ambayo Zaznibar inafahamika imo ndani ya Tanzania. Kwaiyo hapawezi kuwa na nafasi mbili kwa mwanachama mmoja.
Wales, Scotland, N.Irland wote ni wanachama kwasababu England hakujisajili fifa kama United Kindom. Wamejisajili kama ni England tu kwaiyo ndomana kila mtu akawa na nafasi yake ya kujiunga.
Kwaiyo ili zanzibar awe mwanachama Lakwanza Tanzania inatakiwa itoke ijisajili kama Tanganyika. Alafu ndo kuwe na Zanzibar na Tanganyika. hapo ndipo anaweza kutambulika.
WANASTAHILI TOKA ZAMANI SEMA WAMEWEKWA KWENYE KWAPA LISILOSAFISHWA.Sasa wanastahili kuwa wanachama wa CAF na FIFA.....
Mkuu zanzibar haina sifa ya kuwa mwanachama Fifa si ushabiki bali ni uhalisia.
Ndani ya fifa kuna mwanachama Tanzania ambayo Zaznibar inafahamika imo ndani ya Tanzania. Kwaiyo hapawezi kuwa na nafasi mbili kwa mwanachama mmoja.
Wales, Scotland, N.Irland wote ni wanachama kwasababu England hakujisajili fifa kama United Kindom. Wamejisajili kama ni England tu kwaiyo ndomana kila mtu akawa na nafasi yake ya kujiunga.
Kwaiyo ili zanzibar awe mwanachama Lakwanza Tanzania inatakiwa itoke ijisajili kama Tanganyika. Alafu ndo kuwe na Zanzibar na Tanganyika. hapo ndipo anaweza kutambulika.
Kweli mswala ya michezo hayamo katika orodha ya mambo ya mungano,lakini hayo yanajulikana kwenye katiba ya ndani ya Tanzania sio nje ya Tanzania,Nje ya Tanzania Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.Na zaidi ya ayo, masuala ya michezo hayamo kabisa kwenye masuala ya muungano si kwenye mkataba wala kwenye katiba. Sasa inakuaje Tanzania iwakileshe kwenye michezo wakati haikutakiwa iwe ivo kila mmoja alitakaiwa ajiwakilishe kivake. Kujiunga uwanachama wa fifa kwa kutumia Tanzania ni makosa kisheria.
Lakini yote ayo kwa kupitia serekali ya SMZ utategemea nini? serekali ambayo ni balozi wa SMT zanzibar badala ya kua sarekali ya wananchi, huwezi kutegemea chochote kwao.
Good idea....Hii si ndio tuifanye Taifa Star tu ila tumuongezee Samatta pekee
Ni fact sio nawaombea hata viwango vya fifa kenya ni wa 84 je zanzibar ni wa ngapi?Mkuu badala kuwaombea..wewe ndio kwanzaa unawatakia wafungwe. Sio vizudi kiongozi...mimi ni mbara lakini znz nawakubali kinoma.
Na Uganda ndo the first one kwa east afrika na zaid ni bingwa mtetezi wa hili kombe lakini wame poteza nafasi.Ni fact sio nawaombea hata viwango vya fifa kenya ni wa 84 je zanzibar ni wa ngapi?
We jamaa huijui bendera ya znz? Ingia gugo utaikuta mkuuHivi Unaweza Ukatuekea Hiyo Bender's Ya Zanzibar Hapa Tukaiona?
Umeona wapi Bendera Ndani ya Bendera?
Zanzibar si Nchi Bhana! Nchi Ni Tanzania.
We jamaa huijui bendera ya znz? Ingia gugo utaikuta mkuu
Ni fact sio nawaombea hata viwango vya fifa kenya ni wa 84 je zanzibar ni wa ngapi?
Sasa sisi huku tumewatambua kwa vigezo ganiZanzibar Kwenye Viwango Vya FIFA Ni Undefined Kwa Sababu Zanzibar si Nchi Haitambuliki na FIFA
Umenena kweli kabisa sasa kuna wengine hawataki coz zanzibar imecheza vizuri na imefika final basi moja kwa moja wanaipa ubingwa mpira hauko hivyo na ndio maana na mimi nikawa upande wakenyaNa Uganda ndo the first one kwa east afrika na zaid ni bingwa mtetezi wa hili kombe lakini wame poteza nafasi.
Ktk mpira lolote linaweza kutokezea regardless unacheza na nani
Sasa sisi huku tumewatambua kwa vigezo gani
Kwani Zanzibar wana Passport zao.....Hawajatambuliwa na Yoyote Wala Hakuna Kigenzo Cha Kisheria Kinachomfanya Zanzibar Ashiriki Mashindano Ya CECAFA.
CECAFA is an association of the football playing nations in East and Central Africa
Zanzibar sio Nation lakini Kwa Huruma tu za Kuombewa na Tanganyika Ndiyo Kagaiwa uanachama!
Lakini CECAFA haiitambui Zanzibar Kuwa Ni Nchi Na Ndiyo Maana Wanawapokea Wazanzibari Kupitia Passport za Tanzania na wala si Za Zanzibar.