Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,376
- 105,208
Baada ya kushuhudia mechi tamu kutoka kwa Al Ahly akimkaribisha mpinzani wake na mshindani wake wa siku zote Simba
Mechi ambayo imetamatika kwa sare ya bao 1-1 na kumfanya Al Ahly avuke kwenda nusu fainali kwa faida ya bao la ugenini aliyopata kwenye mchezo wa kwanza wa ufunguzi hapa Tanzania.
Majira ya saa 20:00 tutashuhudia burudani nyingine inayowakutanisha Petro De Luanda na Mamelody Sundowns.
Ikumbukwe kuwa Mamelody anafaida ya goli 2-0 aliyopata kwenye 1st leg kule Angola hivyo kibarua chake leo sio kikubwa kwa maana hata sare kwake inambeba.
Ni mechi ya namna gani? Ungana na sisi tutakupa kile kinachojiri uwanjani.
Mechi ni saa 20:00
Lines Up
Mamelod
Petro De Luanda
Mechi ambayo imetamatika kwa sare ya bao 1-1 na kumfanya Al Ahly avuke kwenda nusu fainali kwa faida ya bao la ugenini aliyopata kwenye mchezo wa kwanza wa ufunguzi hapa Tanzania.
Majira ya saa 20:00 tutashuhudia burudani nyingine inayowakutanisha Petro De Luanda na Mamelody Sundowns.
Ikumbukwe kuwa Mamelody anafaida ya goli 2-0 aliyopata kwenye 1st leg kule Angola hivyo kibarua chake leo sio kikubwa kwa maana hata sare kwake inambeba.
Ni mechi ya namna gani? Ungana na sisi tutakupa kile kinachojiri uwanjani.
Mechi ni saa 20:00
Lines Up
Mamelod
Petro De Luanda