Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,963
Mapenzi at times sio..Unakuta ulimpenda mtu ila siku zinavyozidi kwenda unamkinai na kumuona hafai. Na hii inatokea watu wakiwa washakulana tundaHapo kwenye kutoendana nae imekaaje hapo sijaelewa! Si tangu mwanzo na kadiri siku zinavoenda kunamuona jamani?? Naomba ufafanuzi hapo