Sema neno

Sema neno

Mahusiano na ndoa za sasa ukitaka upate furaha unayo isema hapo, basi tafuta pesa kwanza nakuhakikishia utaitwa mfalme wa mapenzi kama huna basi isahau kabisa furaha ya ndoa.

Aiseeee! Kwa kauli yako hii Inamaana hata wanawake sikuhiz wanaooleawa ni wenye pesa tu!?? Kwahiyo sisi hohehahe tutasubiri sana??
 
Aiseeee! Kwa kauli yako hii Inamaana hata wanawake sikuhiz wanaooleawa ni wenye pesa tu!?? Kwahiyo sisi hohehahe tutasubiri sana??
Huo ndio ukweli kwasasa wenye pesa ndio wanaofurahia mapenzi.
 
Mm nafurahia mahusiano nilonayo sababu
Chocote ninachotaka toka kwa mpenzi wangu napewa tena bila kubembeleza.

Safi na hongera sana, every human being by nature desires to be happy and you are happy . Sasa unashaurije wengine??
 
Binafsi nikiona mtu yuko bize ile ya hovyo hovyo tu isio ya kazi Au shughuli fulani maalumu huwa sipendi na nahisigi tu kuna mdudu kaingia
inakera mnooo ukiwa na.mtu hata kama ni rafiki tu weka simu kando kama haiwezekani.bora kuaga ukakae mweyewe uchat inakera
 
Mi nafurahia kwa sababu bado nina sababu za kumfurahia mwenza
 
Ndio, huamini hilo?

Nikama siamini vile make wanaume wenyewe mnalalamika kuhusu wanawake wenye pesa eti Wana kiburi jeuri na uzushi uzushi mwingine mwingiii sasa hapa unafurahije?
 
inakera mnooo ukiwa na.mtu hata kama ni rafiki tu weka simu kando kama haiwezekani.bora kuaga ukakae mweyewe uchat inakera

Inaleta picha ya kutokujali fulani kitu ambacho si kizuri hasa katika mahusiano
 
Mahusiano na ndoa za sasa ukitaka upate furaha unayo isema hapo, basi tafuta pesa kwanza nakuhakikishia utaitwa mfalme wa mapenzi kama huna basi isahau kabisa furaha ya ndoa.
pesa sio kila.kitu ila.ikiwepo inaongeza furaha
 
Umenikumbusha mbali sana sister juu ya definition ya pastor Roman wa zimbambwe tukiwa ester conference miaka hiyo..nikashangaa sana aliposema marriage is a union of two uncomplete people..nilitafakari sana ila siku nilipoingia ktk ndoa ilinisaidia kumvumilia mwenzangu ups and downs zipo popote pale pia ndoa ina raha zake nyingi tu sema ni hulka ya binadamu kuhesabu mabaya kuliko mazuri.....Ujue ndoa ni tamu sana kama ukichukulia kila ulipatalo kama challenge kwenye maisha yako na ukasonga mbele bila kuanza kuwashikirisha wa pembeni ambao always wanasubiri kusikia habari mbaya Wakati wa raha hutawasikia wala hakuna atakayeongea ila upatapo shida jua pia kuwa hiyo ni sehem ya ndoa na pambana na jaribu hilo mpaka mwisho bila kuangalia ndoa ya mwingine au bila kulinganisha ndoa yako na mwingine Ndoa ni ya kwako na always matatizo na mikwaruzano ni part ya hiyo ndoa Jifunze kuwa upatapo raha ndani ya ndoa ni hivyo hivyo pia wakati wa matatizo yanavyokuja na ujue kupambana nayo
 
Back
Top Bottom