Siyo kweli Wachaga ni moja ya kabila yaliyojitokeza kuwa Malaya, jeuri, na si bahili tena.
Kwa taarifa yako pale Moshi kuna ufuska wa ajabu sana na wote ni wachaga ndo wanafanya mambo hayo.
Moshi ni kati ya miji midogo hapa Tanzania ambayo utakuta akina dada poa wanajiuza waziwazi barabarani tofauti na miji mingine midogo ya mikoa.
Ukienda sehemu za starehe kama malindi bar, club kama pub albeto, la liga utakutana na changudoa wanaojiuza waziwazi kitu ambacho ni nadra kwa miji mingine midogo ya kiwango cha moshi, mfano Iringa, singida, tabora, shinyanga, kigoma, hata Dodoma mji ambayo una interluction kubwa ya watu hasa wageni sijaona wanawake wakijipanga barabarani kujiuza, ila nimeshangaa kwa Moshi.
Hii sijui imetokana na nini kwani sioni kama moshi ina wageni wengi na wapitaji mana si mkoa wenye junction kusema watu wanakuwa on transit kuweza kuvuta wadada poa, hivyo kunipa hisia kuwa wanaofanya biashara hii ni wenyeji yaani wachaga na wateja pia ni wenyeji yaani sehemu kubwa ni wachaga kwa sababu hiyohiyo.
Samahani kwa kukupinga kuwa wachaga si malaya, huu mi mtizamo wangu tu.
Naomba kuwasilisha