Sema chochote kuhusu wachaga

Sema chochote kuhusu wachaga

>Gasper Laswai
hauifahamu MOSHI sikulaumu kwa ilo

1.Moshi sio mji mdogo kama unavyo fikiri
2.85% malaya si wachag
 
wachaga wapo kila mkoa na wengiwao ni matajir na wamesoma,
 
>Gasper Laswai
hauifahamu MOSHI sikulaumu kwa ilo

1.Moshi sio mji mdogo kama unavyo fikiri
2.85% malaya si wachag

Nadhani wewe hujaitembea Tanzania hii ambayo ni nchi yako.

Kama haujui kuwa Moshi ni mji mdigo ukilinganisha ni miji mingine ya mikoa basi wewe ni wa kusamehe.

Mfano tu, jaribu kutafuta idadi ya wakazi, ukubwa wa eneo la manispaa, nadhani utapata angalau picha.

Moshi napajua ndg yangu, kuanzia Majengo, kwa mtei, pasua, soweto, karanga, shanti town, Dar street, Kcmc, Rau, n.k.hunielezi kitu, nimeishi pale kwa miaka 4 hadi nilipohamishwa kiutumishi.

Asante
 
Siyo kweli Wachaga ni moja ya kabila yaliyojitokeza kuwa Malaya, jeuri, na si bahili tena.

Kwa taarifa yako pale Moshi kuna ufuska wa ajabu sana na wote ni wachaga ndo wanafanya mambo hayo.

Moshi ni kati ya miji midogo hapa Tanzania ambayo utakuta akina dada poa wanajiuza waziwazi barabarani tofauti na miji mingine midogo ya mikoa.

Ukienda sehemu za starehe kama malindi bar, club kama pub albeto, la liga utakutana na changudoa wanaojiuza waziwazi kitu ambacho ni nadra kwa miji mingine midogo ya kiwango cha moshi, mfano Iringa, singida, tabora, shinyanga, kigoma, hata Dodoma mji ambayo una interluction kubwa ya watu hasa wageni sijaona wanawake wakijipanga barabarani kujiuza, ila nimeshangaa kwa Moshi.

Hii sijui imetokana na nini kwani sioni kama moshi ina wageni wengi na wapitaji mana si mkoa wenye junction kusema watu wanakuwa on transit kuweza kuvuta wadada poa, hivyo kunipa hisia kuwa wanaofanya biashara hii ni wenyeji yaani wachaga na wateja pia ni wenyeji yaani sehemu kubwa ni wachaga kwa sababu hiyohiyo.

Samahani kwa kukupinga kuwa wachaga si malaya, huu mi mtizamo wangu tu.

Naomba kuwasilisha

Nasikitika unasema uongo inaelekea hujaptita hayo maeneo ikiwemo mosh yenyewe
 
hivi great thinkers ndio hivi,mbona kila siku wachaga wachaga??hakuna mambo ya maana ya kuleta hapa? mbona hamuongei kuhusu wakwere??acheni hayo mambo nyie

Sasa wewe ndo GREAT THINKER?

Wakwere wakizidi utaongea tena
 
Nimewahi kuwa na mahusiano na mabinti wa kichagga kama wawili hivi 1. Jina lake la ukoo ni MUSHI 2. Jina lake la ukoo ni Kessy. Wote ni wabinafsi, Hawajali hisia za mtu, ila walikua wazuri sana.
 
Mechi ya wachaga na wahaya, wachezaji wakawa kama ifuatavyo

Wachaga
  1. Massawe
  2. Tarimo
  3. Swai
  4. Kimaro
  5. Temu
  6. Shao
  7. Shayo
  8. Moshi
  9. Urassa
  10. Temba
  11. Mroso
Wahaya
  1. Rweyemamu
  2. Karugaba
  3. Bitegego
  4. Rwiza
  5. Mugyabuso
  6. Katunzi
  7. Kashaija
  8. Mutafungwa
  9. Mutakimbizwa
  10. Mutakamatwa
  11. Mutapigwa
Wachaga kuona list ya wahaya wakaamua kutoka nduki wakiogopa kufungwa, kukimbizwa, kukamatwa na kupigwa

lakini kocha LYASOMBORO aliwaambia warudi uwanjani na mechi wakashinda ndio maana hadi leo wapo vijiji vyote Tanzania wapo hasa vyenye shule, Dispensary, na huduma muhimu km maduka wapo na ama wameolewa
Gari kwao ni kitu muhimu na sio Starehe likifuatiwa na mradi wowote km Duka
 
nachowependea wachaga, hata kama uwe mbaya au mzee as long as una ideas za kupata pesa, au una ki-ngesti cha pesa hukosi bwana! potelea mbali atakuweka mtaji, lakini u are guarantee kuvaa shela au tuxedo(kwa wanaume). know what am saying!
 
oungo mbaya yani wengi hawana shep wengi wao mapnz wamejulia ukubwani fulu baba nani ukimaliza ufunike isiliwe na mbu type kama hizo
 
oungo mbaya yani wengi hawana shep wengi wao mapnz wamejulia ukubwani fulu baba nani ukimaliza ufunike isiliwe na mbu type kama hizo

lol wachaga noumaa, bt hyo ulosema umeprove au ndo bas tena cha kuwadongoa hlo
 
wanawake wa kichaga ni wazuri na pia asilimia kubwa wamesoma na wanaume ndio usiseme karibu wote HB na wamesomea biashara
 
Daaah kati ya boyfriends nilokua nao sijawahi kufurahia uhusiano wangu kama huu na boyfrnd mchaga..kwa kweli they knw hw to handle wanawake hawasubiri mpaka uwaambie shida zako yaan wanaume wa kichaga ndio kabila la kuolewa naloo....lols
 
ukiwa na mchaga hulali njaa. na ataku-support financially vizuri tu
 
sababu ya kupenda pesa baadhi wanaliwa kiboga.mtajibeba
 
ila wazur kwa sura.wamekamililika aisee.hasa wavulana.ila wasichana mashepu kama sanamu la michelin na miroho miusi.fyuuuuuu
 
Kwao Moshi kama wewe ni mfanyabiashara na sio mchaga watakuhujumu na biashara yako itakufa. Njia yao ya kupata utajiri makabila mengine hawathubutu
 
Vile vile hawana ukabila.Kwa wanaowafahamu vizuri watathibitisha hili.
 
Back
Top Bottom