Sema chochote kuhusu wachaga

Sema chochote kuhusu wachaga

Hali ya maisha imeshawabadilisha hasa wadada. Nasikia wakienda dar wakifika mto Wami wanavua pichu zao na kuzitupa mtoni wanaingia dar kikazi zaidi.
 
Hahaha ndo zao hao wamekuwa weng sku hz wa sampuli hiyo

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Mkuu jamani mbona chaga tu kwani makabila zingine hazipo by the way chaga in advance ni wachapakazi wazuri alafu kila mwisho wa mwaka lazima moshi pajae tu,viva chagans.
 
Chezea chagga weye utalala hoooi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hawapendwi sana na wanyakyusa(bha majhanga) eti wanaua waume zao yan unyakyusan bora uoe kabila lingne lakn co chaga
 
Yaani wewe mwanamke wa kichaga badala ya kuwaza pesa akae anakukatikia kiuno wewe? Kwa taarifa yako huwa siyo kwamba wanawake wa kichaga hawajui kufanya mapenzi ila wanapokuwa kitandani huwa wana hisia kali za kupata pesa ikiwemo kuchukua hata za kwako ndio maana wanatulia huku wakipiga ramani jinsi ya kuchukua hela kilaini hasa kwenu nyie vyasaka.


Umekosea sio wanapokuwa kitandani hata ukizubaa kukuwekea sumu ya panya inahusu tena hasa wamachame. Kuoa kabila hilo bora nigegede hookers.
 
Mh hawa cwawez ucpozaa mtoto wa kiume tu utamkoma mamamkwe. Au wanaogopa watoto wa kike watarithi hizo shep zao kama mlango
 
Hhahaha shepu kama mlango duuu hahha napita jujoka wwe mchokozi sana

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Positive:watafutaji hodari,wanathamini familia zao,wanapendana.
Negatively:wabinafsi,washamba, walevi na wanafiki.
 
TEeeeeeeeeeeeh shepu kama mlango umewachoka kwakweli.ila ilo la mtt wa kiume ujakosea japo co wote.
 
Back
Top Bottom