Sema chochote kuhusu wachaga

Sema chochote kuhusu wachaga

Hiyo ishu ni kweli,tatizo historia ya makabila hatuijui maana ya wapare kwa kichagga ni wapige but baada ya muda kwenda ili kuondoa uhasama ndipo wakawa watani wetu tunaenda kwao kuwanyaanganya kuku, mbuzi, ngombe au kitu kizuri akiwa nacho lakini si kwa ugomvi kwa utani ndo mpwka leo hii wachagga hatuna watani wengine ni wapare tu.

Sawa mtani! Kila neno kwny kabila flani lina maana tofauti
 
kwa sasa wachaga wanaanja kutoka kwenye msitari mwanzo walianza nA WIZI ukaja UJAMBAZI sasa wamehamia kwenye pesa ZA MAKAFARA kazi kweli kweli
 
Yaani wewe mwanamke wa kichaga badala ya kuwaza pesa akae anakukatikia kiuno wewe? Kwa taarifa yako huwa siyo kwamba wanawake wa kichaga hawajui kufanya mapenzi ila wanapokuwa kitandani huwa wana hisia kali za kupata pesa ikiwemo kuchukua hata za kwako ndio maana wanatulia huku wakipiga ramani jinsi ya kuchukua hela kilaini hasa kwenu nyie vyasaka.

Hah ah ah ahah ahha hii chiboko kwa kweli nimeilike mara 1000:eyebrows:
 
Mchaga alukwa anamrekebisha mpare kuongea kiswahili fasaha

Mpare: Aithee nipe THUPU
Mchaga: (Kicheko sana kisha akamsahisha) We Mpare haujui kiswahili baba yangu, sio THUPU sema SU SU SUBU!!
 
Katika Afrika Mashariki ni Wachaga tu katika makabila ya Tanzania wanaotoa Ushindani wa kibiashara kwa makabila kama Wakikuyu wa Kenya; Wabaganda wa Uganda na Watusi wa Rwanda na Burundi. Wale waliokwisha kulitembelea soko kuu la Kikomba la Nairobi Mjini ambalo linasifika kama the biggest open air market in East Africa zaidi ya nusu ya wanaofanya biashara hapo ni wachaga - warombo; wakibosho; wa uru; marangu; mbokomu na kadhalika. Hata Wakikuyu wamesalimu amri kwa wachaga hapo Kikomba. Hii si kwa sababu ya uchawi etc but kwa sababu ya hard work and seriousness. Nafikiri kwa hili makabila mengine ya Tanzania wangewaiga hawa Wachaga na sii kuwapiga vita au kuwaonea wivu. Tunaingia kwenye SOKO HURU LA AFRIKA MASHARIKI AND WHAT TANZANIA NEEDS IS MORE OF ITS PEOPLE TO BEHAVE AND WORK AS HARD AS THE CHAGAS RATHER THAN JUST GRUMBLING NAKUPOTEZA MUDA VIJIWENI.

Ninakuunga mkono; sio kwa sababu mi ni Mchagga bali kwa sababu umeandika uhalisia wa mambo.
 
Mchaga alukwa anamrekebisha mpare kuongea kiswahili fasaha

Mpare: Aithee nipe THUPU
Mchaga: (Kicheko sana kisha akamsahisha) We Mpare haujui kiswahili baba yangu, sio THUPU sema SU SU SUBU!!
Hahaahhah... lol!
 
wachagga ndo tuna run Tanzania..
wakati na sign up fc bk pale kwenye kipengele cha kabila basi tu kuanza kuweka herufi ch... ghafla ikaniletea option mbalimbali, mara chagga, kikuyu, kamba.
basi ikabidi nianze kutress makabila mengine tz amini usiamini hakuna kitu.
Nafikiri sasa huku tulikofika wachagga tupo recognized duniani. sisi ni noma..
 
Searching...100%
Loading...0%
Network failed !

Tumechoka na story za wachaga.
 
Wachaga wakizaliwa migombani siku ya kwanza hawatakiwi kupitia mlangoni, wanarushiwa kupitia dirishani na kudakwa ndani kwenye sinia la pesa! kwi kwi kwi kwi!!
 
kaka unatuonea saa nyingine mipaka huwa inahama yenyewe manake shmba linataka kuoteshwa migomba
 
Back
Top Bottom