Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Mimi mbona sikaribishwi hivi jamani?? Anha eenh nishajua pa kukumatia,, January siyo mbali sana mbona
Nimekwambia IAA au unataka twende Grand Melia![]()
Nimekwambia IAA au unataka twende Grand Melia![]()
Ondoa shaka kabisaaHiyo hiyo fungua sasa
Kwani tunazungumzia nini eti jamani
Aiseee
Hivi wewe si umezima simu dada!!
Mwambie Mangi naanza kumpenda





Nimeamka sasa hivi General Mangi ukuje uku
Huku kwako kunanifaa miminenda tu huko mama,, maana kwangu utakutana na divai na vileo tu..

Sawa dearNgoja namlia mingo tu
Utaninunuliahapana ila ni kwamba tu mimi sina mirinda nyeusi
WoyoooooNdondo hapa
OooohhhhUnataka kunigawa eti jamani