Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 2, 2019 #19,821 Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Sakayo said: Ndiwooo Tutakutana dear! Wala huu mwaka hautaisha .... Naomba uwe mtu wa kwanza mimi kukutana naye! Najua wewe ni kadogo nitakuonea tuu!! Ulichonifanya jana na Mshana sina hamu! Mewasubiri mpaka nikachokaa, halafu mlileft pamoja haki! Click to expand...
Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Sakayo said: Ndiwooo Tutakutana dear! Wala huu mwaka hautaisha .... Naomba uwe mtu wa kwanza mimi kukutana naye! Najua wewe ni kadogo nitakuonea tuu!! Ulichonifanya jana na Mshana sina hamu! Mewasubiri mpaka nikachokaa, halafu mlileft pamoja haki! Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,822 Eli79 said: Click to expand... Unaenda wapi eti, subiria hapo hapo
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,823 Eli79 said: Hii ni fantasy tu mdogo wangu... Click to expand... Ipo siku itatimia kaka!
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 2, 2019 #19,824 si kwa ubaya Sakayo said: Eeehhh Click to expand...
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,561 Reaction score 119,606 Nov 2, 2019 #19,825 Sakayo said: Ipo siku itatimia kaka! Click to expand... Sio rahisi, na uzee huu huyo mmoja ananishinda, wawili nawawezea wapi..
Sakayo said: Ipo siku itatimia kaka! Click to expand... Sio rahisi, na uzee huu huyo mmoja ananishinda, wawili nawawezea wapi..
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 2, 2019 #19,826 uliviona wapi?? Sakayo said: Hahahahahaha Vidole vyako ni vizuri sana jamani Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 2, 2019 #19,827 Mimi mbona ipo wazi dada angu mzuri mzuri Sakayo said: Wewe mwenyewe umefunga pm mdogo wangu mzuri mzuri!! Click to expand...
Mimi mbona ipo wazi dada angu mzuri mzuri Sakayo said: Wewe mwenyewe umefunga pm mdogo wangu mzuri mzuri!! Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,828 Karma said: Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Click to expand... Ndiwooo Utakuwa wa kwanza dear!! Nimekutana na dada ila kumbe ni tulijuana kitaambo kabla ya JF, so daamu zilivutana! Niliwafungulia nikijua mtakuja naona mkaleft woote jamani!! Mshana alikuja kurudi akakuta nishafanya maamuzi magumu! Sema ilikuwa wazi zaidi ya lisaa mdogo wangu mzuri mzuri
Karma said: Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Click to expand... Ndiwooo Utakuwa wa kwanza dear!! Nimekutana na dada ila kumbe ni tulijuana kitaambo kabla ya JF, so daamu zilivutana! Niliwafungulia nikijua mtakuja naona mkaleft woote jamani!! Mshana alikuja kurudi akakuta nishafanya maamuzi magumu! Sema ilikuwa wazi zaidi ya lisaa mdogo wangu mzuri mzuri
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,829 Karma said: si kwa ubaya Click to expand... Siamini
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,830 Karma said: Mimi mbona ipo wazi dada angu mzuri mzuri Click to expand... Wewe huyooo ushaniona mie sielewi akii
Karma said: Mimi mbona ipo wazi dada angu mzuri mzuri Click to expand... Wewe huyooo ushaniona mie sielewi akii
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,831 Karma said: uliviona wapi?? Click to expand... Kwenye selfie
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,832 Eli79 said: Sio rahisi, na uzee huu huyo mmoja ananishinda, wawili nawawezea wapi.. Click to expand... Wacha nikae kimya
Eli79 said: Sio rahisi, na uzee huu huyo mmoja ananishinda, wawili nawawezea wapi.. Click to expand... Wacha nikae kimya
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,479 Reaction score 176,529 Nov 2, 2019 #19,833 Sakayo said: Wewe umeenda wapi sasa jamani, nikajua nikitoka huku nakukujia jamaniii Click to expand... Why hukuniambia jamani
Sakayo said: Wewe umeenda wapi sasa jamani, nikajua nikitoka huku nakukujia jamaniii Click to expand... Why hukuniambia jamani
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,917 Reaction score 831,340 Nov 2, 2019 Thread starter #19,834 Sometimes yes.... Sometimes no...
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,479 Reaction score 176,529 Nov 2, 2019 #19,835 Sakayo said: Wewe huyoo Click to expand... Ndio, mie ndio wa kwanza then wewe wa pili. Karma wa 167.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,917 Reaction score 831,340 Nov 2, 2019 Thread starter #19,836 Karma said: Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Click to expand...
Karma said: Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,837 Mshana Jr said: Sometimes yes.... Sometimes no... View attachment 1251847 Click to expand... Yes
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,838 Atoto said: Why hukuniambia jamani Click to expand... Usiniambie haupo jamani auntie
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,917 Reaction score 831,340 Nov 2, 2019 Thread starter #19,839 Karma said: Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Click to expand...
Karma said: Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF?? Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika?? Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Nov 2, 2019 #19,840 Atoto said: Ndio, mie ndio wa kwanza then wewe wa pili. Karma wa 167. Click to expand... Kama mie wa pili sawa kabisaa
Atoto said: Ndio, mie ndio wa kwanza then wewe wa pili. Karma wa 167. Click to expand... Kama mie wa pili sawa kabisaa