Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF??


Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika??
 
Ndiwooo
Utakuwa wa kwanza dear!! Nimekutana na dada ila kumbe ni tulijuana kitaambo kabla ya JF, so daamu zilivutana!

Niliwafungulia nikijua mtakuja naona mkaleft woote jamani!!

Mshana alikuja kurudi akakuta nishafanya maamuzi magumu! Sema ilikuwa wazi zaidi ya lisaa mdogo wangu mzuri mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…