nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,386
- 7,736
Utanitumia namba ya headmaster kwenye sanduku la waziri mkuu, wewe ndio mjukuu wangu humu ndaniAbee babu
Utanitumia namba ya headmaster kwenye sanduku la waziri mkuu, wewe ndio mjukuu wangu humu ndaniAbee babu
Oh sawa babu 😜😜😜Utanitumia namba ya headmaster kwenye sanduku la waziri mkuu, wewe ndio mjukuu wangu humu ndani
Mama yetu huyu ila hakuna namna ngoja tuendelee naeWala asali awamu ya mama.
JMT; Kazi iendeleeee
Kwa waziri mkuu tuonane mjukuu wanguBabu naomba adress nikimaliza shule nilete job application 😜
😂😂😂 ndioSielewi ni makusudi au accidentally..
Au ile ya miwani ya yanga 😂😂😂🙌
Mama anatosha hakikaMama yetu huyu ila hakuna namna ngoja tuendelee nae
Weeee kumbe ni saa 11 😂😂😂 na hunishtui?😂😂😂 ndio
Hakika tumepata kubarikiwa 😊😊😊
Hiiiiiiiiiiiiii, wewe njemba nakupata wewe...... 😁
Nibariki na mimi bossHakika tumepata kubarikiwa 😊😊😊
Humu jf kuna hadi baba zetu

Shikamoo baba mkwe
Humu jf kuna hadi baba zetu
Ila si ajabu tunabishana nao majukwaani huko bila kujua
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app