Kwanza mwanaume anae kuacha wewe au alie kuwacha ni kuwapimwa mkojo mavi maana tunajua tu kichwani sio mzima so haina haja ya kupima akili π π π π
Kwanza mwanaume anae kuacha wewe au alie kuwacha ni kuwapimwa mkojo mavi maana tunajua tu kichwani sio mzima so haina haja ya kupima akili π π π π
πππ€£π€£π€£π€£π€πππ€£π€£πππ€π€π€ mbona mpaka waleo naandamwa mtoto wa watu mie hapo tu ndiooo siwaelewi banduguuuuu cocastic naomba mwongozo labda nitaelewa kilaza mimi!!
Zama zangu zilishapita kitambo sana ilaa sasa Sijui niliwafanya nini mimi jamani!! πππππ€
Halafu sitaki maneno mie ngoja niwaache!πΆπΆπΆπΆπΆ