Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,295
Njoo uchukue dogo langu
Njoo uchukue dogo langu
niko bienMambo poa sana. Uko fresh???
Shikamoo dada😁Mambo poa sana. Uko fresh???
Ooh kweli
Imagine being them [emoji23]Mmekaa miaka karibia 30 makwapa yameota ukurutu, leo mmeanza kunyanyua makwapa basi ishakuwa shida...liverkuku bwana.
Europa sio mbaya sana, bado hatujatengeneza competitive team ya kwenda ucl. Huko kuna wababe, wangetuumiza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imagine being them [emoji23]
Ah sahihi kabisaEuropa sio mbaya sana, bado hatujatengeneza competitive team ya kwenda ucl. Huko kuna wababe, wangetuumiza.
oh,safi sana nakuja.niko njiani
Sisi ndio liver bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmekaa miaka karibia 30 makwapa yameota ukurutu, leo mmeanza kunyanyua makwapa basi ishakuwa shida...liverkuku bwana.
Balaa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hako kavhuchunge kawige wangekuwa na timu Bora msimu huu aisee tungepasuka ngoma za sikio Kwa kelele[emoji1787]
Nakutania[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Njoo uchukue dogo langu
safi.huko ndo kuzuri
Wanafanyaga maajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ooh kweli
Spurs sio wa kitoto kama West Ham vile
Just imagine[emoji7]Imagine being them [emoji23]
Siyo mbaya sana ni maneno ya wakosaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Europa sio mbaya sana, bado hatujatengeneza competitive team ya kwenda ucl. Huko kuna wababe, wangetuumiza.
Goals watatoa wapi Hawa?[emoji1787]Ah sahihi kabisa
Bora mjipange kwanza then baadae mkienda huko ni mwendo wa goals tu