Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Njoo uchukue dogo langu
Njoo uchukue dogo langu
niko bienMambo poa sana. Uko fresh???
Shikamoo dada😁Mambo poa sana. Uko fresh???
Ooh kweli
Imagine being themMmekaa miaka karibia 30 makwapa yameota ukurutu, leo mmeanza kunyanyua makwapa basi ishakuwa shida...liverkuku bwana.

Europa sio mbaya sana, bado hatujatengeneza competitive team ya kwenda ucl. Huko kuna wababe, wangetuumiza.
Ah sahihi kabisaEuropa sio mbaya sana, bado hatujatengeneza competitive team ya kwenda ucl. Huko kuna wababe, wangetuumiza.
oh,safi sana nakuja.niko njiani
Sisi ndio liver bwanaMmekaa miaka karibia 30 makwapa yameota ukurutu, leo mmeanza kunyanyua makwapa basi ishakuwa shida...liverkuku bwana.


















Balaa tu
Hako kavhuchunge kawige wangekuwa na timu Bora msimu huu aisee tungepasuka ngoma za sikio Kwa kelele

NakutaniaNjoo uchukue dogo langu







safi.huko ndo kuzuri
Wanafanyaga maajabuOoh kweli
Spurs sio wa kitoto kama West Ham vile






Just imagineImagine being them![]()


Siyo mbaya sana ni maneno ya wakosajiEuropa sio mbaya sana, bado hatujatengeneza competitive team ya kwenda ucl. Huko kuna wababe, wangetuumiza.





Goals watatoa wapi Hawa?Ah sahihi kabisa
Bora mjipange kwanza then baadae mkienda huko ni mwendo wa goals tu
