Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B 🤣🤣🤣au kwakuwa sinatako ndo sieleweki😆
Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B
Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B 🤣🤣🤣au kwakuwa sinatako ndo sieleweki😆
money is tangled up with love, mkiwa kwenye mahusiano lazima mtakua mna plans za baadae, mtahitaji kupanga nyumba, kujenga, kuwa na watoto, kwenda vacations, kununua magari n.k, ni ngumu kutenganisha hivyo vitu kwa hizi nyakati.
Ni sawa lkn yote huja baada ya kupendana napesa zinatafutwa na plans zinawekwa hapo tayari tushatenganisha maanayake mapenz yalitangulia hapo so sijui labda mm naelewa vibaya
Jikubalini nyie wanawake...mbona mnakuwa na wasiwasi. Tena nyie kuolewa ndio chap kwa haraka....kama hujaolewa mpaka sasa basi tambua kuna shida kwenye tabia zako🤣🤣🤣🤣🤣
Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B