Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Yeah njooni wote, usiku ushaingia.kama vipi twende wote 😅😅😅
Njooni mlale huku asubuh nawaandalia breakfast mkishiba mnarudi magetoni kwenu
Yeah njooni wote, usiku ushaingia.kama vipi twende wote 😅😅😅
Kila nikikuwaza nacheka .. mbavu zinaniuma sasaItakua imezima charge labda
Twenzao hamna namna mkuuKaisha tukataaa huyo mzee mwenzangu hapa tunyooshe tu mguu kwa Lenie
Miaka ya uhuru nakwambia ilikua balaa enzi zile😂😂Kila nikikuwaza nacheka .. mbavu zinaniuma sasa
kwako palivyo pazuri na ile switch ya kitandani tutahamia mazima 😅😅😅😅Yeah njooni wote, usiku ushaingia.
Njooni mlale huku asubuh nawaandalia breakfast mkishiba mnarudi magetoni kwenu
😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌Miaka ya uhuru nakwambia ilikua balaa enzi zile😂😂
Nikajua umechoka adi usingz umekujia🤣
Karibuni sanaaa😂😂kwako palivyo pazuri na ile switch ya kitandani tutahamia mazima 😅😅😅😅
Oyoooo spidernyoka maisha si ndio hayaaaVyumba vipo kama vyote, siwez kukulaza koridoni wewe
Sasa leo namie natamani sticker zingekuwepo😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Emu nilale tu sasa
Maana nakoelekea nitapasuka kifua
Ushafeli yakhee,fanya kupatoka hapo.Natumaje ya kutolea mwenye hapa nimebaki na nauli ya kuondokea kama nitaachwa kwenye mataaaView attachment 2226181
Mbona hamfiki sasaOyoooo spidernyoka maisha si ndio hayaaa
Sema mie gheto kwangu mkoani haipo nina jiko la gas tu ndani 😅😅😅 kwa maisha ya kwako tutafurahi sanaaaKaribuni sanaaa😂😂
Switch unaikumbuka🤣
Tupewe nn tena tumechelewa kujaaaOyoooo spidernyoka maisha si ndio hayaaa
Na hiyo sakafu imefagiliwa mara ya mwisho lini?😃Sema mie gheto kwangu mkoani haipo nina jiko la gas tu ndani 😅😅😅 kwa maisha ya kwako tutafurahi sanaaaView attachment 2226212
ndio tupo mtongani hapa 🙄🙄🙄Mbona hamfiki sasa
Sasa nikiangalia ile stika yako unajizua kucheka mwisho unalimwaga 🤣🤣🤣🤣 ndio nazidi kufwa.Sasa leo namie natamani sticker zingekuwepo
Aki kichwa kimeuma sana leo🤣🤣🤣
Pumzika kesho tuanze upya mapemaa😂😂
Hellow!!Helow
Mimi na ww ni mapacha mkuuSema mie gheto kwangu mkoani haipo nina jiko la gas tu ndanikwa maisha ya kwako tutafurahi sanaaaView attachment 2226212