Daaah 🤣🤣🤣
Muumini ukikuta nimefunga huko,ujue nimetingwa sana na huduma huku, sina muda wa kutosha kukuhudumia. Sasa mtu asije akatuma PM yake afu ikajibiwa after months, haitokuwa poa na wakati ukute anahitaji ushauri urgently juu ya mapito yake.🤣🤣🤣