Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naku zoom tu mjomba

Naona ushachoka kukuta manyoya
inauma sanaaa, unaishia kusikia sifaa tu .. basi unabaki
307F5868-5A9A-4748-BDA6-DAE3A2CE8AA4.jpeg
 
Siku nyingine si mnaziwahi lakini !!!!!! Afu na pilot Mnaniangusha Shangazi enu bana mnakwama wapi hadi kufikia hatua ya kulia live banaaa🤣🤣🤣😂😉😜!!!
😅😅😅 shangazi nitahamia kwako kibarua kikiota nyasi, maana kuna watu hapa nimeshtuka watu wengi sana wanachungulia kimyaa kimyaaa, unaweza kuta nimeisha kwaluza na boss alafu akiniona ndio mie kesho naanza kula majani
 
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂!! mtu kama Pilot na baba pasta.... wanakwama wapi lakini!!! Mie siamini waongo hao!!
😅😅😅 mambo ya kuja kutangazwaaa humu acha tuyaepukeee unaweza kimbia jukwaa hadi ukavunjika miguuu ukisikia tu jf unabaki.. muelekeza tu Post M-alone mbinu nae apate chochote mie simo nimekubali kushindwaaa

8F0B9E72-9D5C-4A9F-973F-02D16A51254E.jpeg
 
Back
Top Bottom