Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ninavyoogopa maji sasa,, naonaga kama mtu yupo kwenye maji ananiita/ananivuta,,Mungu tu ananisaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kila mtu kwenye maisha Kuna kitu anakiogopa bila sababu, ni kawaida.

Mfano Heaven Sent Kuna vitu anaviogopa ila atakuja hapa mwenyewe aseme.

Binafsi naogopa kinyonga kuliko maelezo, ntaua nyoka na Kila aina ya kiumbe lakini kinyonga nikimuona tu, nasisimka Kwa hofu, sitaki hata kumwangalia.

Kimsingi sitaki iwe karibu sana na maji ila niwe naweza kuyaona maji nikiwa ndani ya kanyumba kenye madirisha makubwaaaa ya viooo.
 
Mbna sipati notifications za selfika
Au ndo nishaharibu mambo
IMG_20220515_124920_896.jpg
 
Kila mtu kwenye maisha Kuna kitu anakiogopa bila sababu, ni kawaida.

Mfano Heaven Sent Kuna vitu anaviogopa ila atakuja hapa mwenyewe aseme.

Binafsi naogopa kinyonga kuliko maelezo, ntakua nyoka na Kila aina ya kiumbe lakini kinyonga nikimuona tu, nasismka sitaki hata kumwangalia.

Kimsingi sitaki iwe karibu sana na maji ila niwe naweza kuyaina maji nikiwa ndani ya kanyumba kenye madirisha makubwaaaa ya viooo.
jamani,kinyonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu kwenye maisha Kuna kitu anakiogopa bila sababu, ni kawaida.

Mfano Heaven Sent Kuna vitu anaviogopa ila atakuja hapa mwenyewe aseme.

Binafsi naogopa kinyonga kuliko maelezo, ntakua nyoka na Kila aina ya kiumbe lakini kinyonga nikimuona tu, nasismka sitaki hata kumwangalia.

Kimsingi sitaki iwe karibu sana na maji ila niwe naweza kuyaina maji nikiwa ndani ya kanyumba kenye madirisha makubwaaaa ya viooo.
Nashukuru ujumbe wako umefika. 😁😁😁
 
Back
Top Bottom