Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hahahaaaa... shangazi watakuzeesha tu Mabinti Ndio wanakufaa wewedamu bado inachemka! Mashangazi washakula sana sana ujana saivi hawatamaniki na hekaheka zenu hawaziwezi!
😅😅😅 mashangazi mna hela hamna ubahiri kuliko size zetuu
5E5E224D-EADB-433C-986B-592BA34FA2A3.jpeg
 
Nilipatie wap shost?
Kaimba nani, maneno yake yanachekesha mbona😃
Kuna kengine kanaitwa ‘mtoto wa mtu.. nilikuwa nasikiliza radio nikakutana nako, ni moto 😂😂

Basi hapa nafanya tu repeating tu.


Huo Nenda YouTube, kiss Daniel na Tekno ‘unaitwa Buga.. ni ka vibe amazing, haswa hiyo kiitikio.
 
Kuna kengine kanaitwa ‘mtoto wa mtu.. nilikuwa nasikiliza radio nikakutana nako, ni moto 😂😂

Basi hapa nafanya tu repeating tu.


Huo Nenda YouTube, kiss Daniel na Tekno ‘unaitwa Buga.. ni ka vibe amazing, haswa hiyo kiitikio.
Hahahaa nataka huo 'mtoto wa mtu' ni singeli?

Aah kama ni hao basi nyimbo itakua ya ukweli hiyo, ngoja niicheki
 
Back
Top Bottom