Nilikwambia mpaka Yesu arudi ndo bifu letu litaisha. Labda uniombe msamaha huku ukiwa umepiga magoti kama mabinti wa Kisukuma na Wigelekelo akiwa shahidi...
Halafu naomba nikiri aisee. Jana nilinunua Mayoneizi!
. Sasa wakati naweka kwenye gari ndo nikakukumbuka wewe na Wige. Nikaishia tu kujisemea sijui nitaambia nini watu ila ndo hivyo
Nilikwambia mpaka Yesu arudi ndo bifu letu litaisha. Labda uniombe msamaha huku ukiwa umepiga magoti kama mabinti wa Kisukuma na Wigelekelo akiwa shahidi...
Halafu naomba nikiri aisee. Jana nilinunua Mayoneizi!
. Sasa wakati naweka kwenye gari ndo nikakukumbuka wewe na Wige. Nikaishia tu kujisemea sijui nitaambia nini watu ila ndo hivyo