Nilikwambia mpaka Yesu arudi ndo bifu letu litaisha. Labda uniombe msamaha huku ukiwa umepiga magoti kama mabinti wa Kisukuma na Wigelekelo akiwa shahidi...
Halafu naomba nikiri aisee. Jana nilinunua Mayoneizi!
. Sasa wakati naweka kwenye gari ndo nikakukumbuka wewe na Wige. Nikaishia tu kujisemea sijui nitaambia nini watu ila ndo hivyo