tamsana
Platinum Member
- Jan 13, 2012
- 3,830
- 8,247
Mimi mfupi kabisa mkuu, tena ukiongezea na outfit zangu suruali bwanga ndio basi tena.
Mimi mfupi kabisa mkuu, tena ukiongezea na outfit zangu suruali bwanga ndio basi tena.
Mtajiju na maumbo yenu, mie nataka slim haswaaah.Asiwe mwembamba sana eti ukimuegemea mnaenda chini woteawe mwembamba kawaida na kakifua kamejaa jaa. Rahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Una height ya ngap?Mimi mfupi kabisa mkuu, tena ukiongezea na outfit zangu suruali bwanga ndio basi tena.








Sisi wafupi tena wavaa mabwanga 😀😀😀
Duh
😅😅😅😅 Mabaharia wana taabu sanaaa maana wanakutana na kila aina ya vitukoAu dingi karudi![]()
Tena una body Moja tamu mnooo!! Mwili upo sio mnene Sio mwembamba!






una matatizo wee lol.😀😀👐Tena una body Moja tamu mnooo!! Mwili upo sio mnene Sio mwembamba😉😜!
Itabidi kwanza unisake nianze kukuombea weweee na uanze kuungama 😀😀😀 acha janja janjaani mie kabisaaa huyu.
Wewe tenaMtajiju na maumbo yenu, mie nataka slim haswaaah.
kama yule uliweka picha yake huko juuYeahhh...... sema wanaume wao uzuri hata ukute mwembamba nawe bonge unaeza kimbia mwenyewe 🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭😉😉!Asiwe mwembamba sana eti ukimuegemea mnaenda chini woteawe mwembamba kawaida na kakifua kamejaa jaa. Rahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie wembamba sana hapana... napenda kudeka mie nimkalie kalie mara ninyanyuliwe sasa mwembamba sana ntammaliza Nguvu mapema![]()
!


Yupi? Kuna wawili tofauti palee?





Itabidi kwanza unisake nianze kukuombea weweee na uanze kuungamaacha janja janjaa







dhambi zangu aaaah.Ndio shangazi 😉😉😜!