Weeeeeeeehhh acha tu Shos tena hapa nilipo mkuu ana majaribu katika mitihani nyie naomba nitoke salama tu mie !! Sasa kuna hawa Pc wamama/ wababa in service watu na mishahara yao kibao hayo majaribu uwiiii!!πππππ
ππππ Usimpe hope aone kama amekosa kitu cha kawaidaa Post M-alone kidogo networking na servers za jf zi shut down kwa mtetemeko wa selfie yenyewe hatari sana π₯π₯π₯