nilienda JKT, hapo tena kwa lazima nkasema kuna baadhi ya taratibu zikiwepo kabla ya utekelezaji nachomoka mwenyewe, uzuri wake intake yetu hakukuwa na hiyo.
Kimbembe sasa huko kwenye mahema, kwanza maisha ya pale khaaaj, nlimuhonga mjeshi anitoroshe, bhana wee 200k angu alichukua, na adhabu juu eti mie mtoa rushwa, sema nikawekwa kitengo cha huduma, sikuteseka hivyo.