Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mr.Slim Kagame Junior [emoji28][emoji28][emoji28] nimeziduria tena ila nyuma hapo zipo tupia basi ila ataka lala [emoji41][emoji41]View attachment 2219599View attachment 2219602
Wee mr kahawa, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndo watu wanakuambia umefanana na Kagame?

Puliiiiiz wamuombe msamaha baba wa watu, hebu wawe wazi umefanan nae kwa kipi? Maan hata kwa u slim wee umekua mnene kwake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee mr kahawa, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndo watu wanakuambia umefanana na Kagame?

Puliiiiiz wamuombe msamaha baba wa watu, hebu wawe wazi umefanan nae kwa kipi? Maan hata kwa u slim wee umekua mnene kwake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅 Kanazidi urefu tu ...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuh afu huwezi amini, sometimes nikibananishwa nakua mpoleee, ila ndani kwa ndani, nje n noooopee.
Sijawahi kukuona ukiwa umeelemewa. Hata wapaniki vipi unakwenda nao tyuuh taratibu jomoniii eee. Huwa nakushangaa sana! [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom