Kwenda kwanza hostel ukapigwe kwanza exile mbili tatu zikufundishe kuvumilia kero za dunia
Kule kibozoooo nawee, mmmhUtaniona tu ,
Nimetega hapa kimara darajani juu nabembea na barafu zangu.
Yaani hazipiti dakika kumi sijawaza hilo jambo..
Nimejitahidi kueleza lakini wapi!
Gap bado ni kubwa..
Kuna mtu anajaribu kulifill lakini wapi!stress zangu hazina shukrani
Maisha ya kukaa lonely mazuri sana.
Nani alikwambia nipo kule mdogo wetu?Kule kibozoooo nawee, mmmh
Mimi sijui hata nitarecover liniπnishajikatia tamaaPole sana nakuombea urecover katika suala hilo japo si rahis itachukua muda wewe kuwa sawa .
Muda mwingine tukipitia jambo gumu huwa si rahisi kusonga mbele kihivyo .. Mungu akupe faraja ndani ya moyo wako .
Chaaaaahostel nilishakataa kukanyaga, afu sahivi mie mkubwa bhana, nna mambo yangu pia staki kuwakwaza wengine, huenda mie ndo ningewapiga wao Exile
Woiiiiioh
Unachokitafuta utakipata babuView attachment 2218951View attachment 2218951
Unapokuwa Mzee unatakiwa kuongoza Kwa mifano Kwa wajukuu ili wapate vya kujifunza.
Hata miaka Ile Nchi imepigwa na Njaa ni Wazee ndiyo tulionja matunda na vyakula vigeni kabla wanafamilia wengine hawajala ili kama Kuna shida yeyote iondoke na Sisi kwanza π€ͺπ€ͺπ€ͺ
Makinikeni nyote, Nchi inawategemea πͺ
Mmmmh wee ulinambia bhana, labda km umehama lol.Nani alikwambia nipo kule mdogo wetu?
Mimi siku zote nasema humu utanipata kimara juu ya daraja
Chaaaaa
Kumbe wewe ndio ungekuwa mpiga exile??
Ukubwa umeanza lini?
Poaaaah
Nilijua tu comment kama hii haitotokea ikosekane hahaaIko siku utakipata unachokitafuta,
Njoo hapa kimara mdogo wetu uniungishe barafu hata 2 .Mmmmh wee ulinambia bhana, labda km umehama lol.
Kimara hiyo kwioooo.
Naomba kuuliza mana huwa sielew vizuri. Hivi nisipochanganya damu na hayo maji yake nikachanganya na maji ya kawaida haitoi majibu kiufasaha au hata maji ya kawaida ni sawa tu??View attachment 2218951View attachment 2218951
Unapokuwa Mzee unatakiwa kuongoza Kwa mifano Kwa wajukuu ili wapate vya kujifunza.
Hata miaka Ile Nchi imepigwa na Njaa ni Wazee ndiyo tulionja matunda na vyakula vigeni kabla wanafamilia wengine hawajala ili kama Kuna shida yeyote iondoke na Sisi kwanza
Makinikeni nyote, Nchi inawategemea
Sisi tunajua tuna mtoto kumbe siyo mtoto ila ulichelewa tu kuzaliwa(kwa sauti ya LEGEND Analyse )bas bas, nimekosa mie, nimekosa mie. Nimekosa sana.
Nipo haya maeneo maeneo π π πhebu nipe location, nije kuwapigisha mastory hadi mchoke wenyewe
So sad ndo mwezi huuMimi sijui hata nitarecover lininishajikatia tamaa
Halafu huu mwezi ndio kabisa..unaniumiza vibaya mno ..kama ndio filamu basi picha limefika mwisho na kuanza upya mwanzo.
All in all maisha ya kutokujichanganya yana raha sana.
Pole piaSo sad ndo mwezi huu
Utarecover tu dear amini tu hivyo
Mwanzoni huwa si rahisi , muda utakupa jawabu sahihi .
Uchungu wa msiba hauzoeleki na unakuwa nao siku zote . Ni almost miaka saba toka mama aniache ila maumivu yapo tu siku unakaa unamkumbuka weh then life inaendelea tuh
Amen , Thank youPole pia
Wakati wote Mungu ni mwema