Mie sio mtoto wa kishua, ila sipendi kulala na mtu mda mrefu.Tunalala vizuri sana sema nyie watoto wa kishua mtaona maajabu [emoji12][emoji12]
Mimi hostel nimepigwa miexile hadi basi.Hii ya shule umenikumbusha, nimekaa hostel unatoka huko umechoka ufike basi upumzike unakutana na nyomi la kufa mtu, kelele sasa kama mpo stendi nilikua naboreka. Sasa na mtaani tena nikarundikane na watu hii hapana nshashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exile, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safi. Nimehoji sababu naona sana kwa watu wengne, mwanaume akija na mwenza wake jamaa zake wanalala nje siku hiyo [emoji23] na hii si haki hivyo nilitaman kujua kwa upande wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzuri eeh?Oooh hapo sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wapiii wee. Acha zako.acha basi, maisha kupanda na kushuka .. unajua history ya macMuga wewee [emoji12][emoji12]
Ngoja nisimame kwanza hapa,maana nimekosa sitiπ§β[emoji2383]Mie sio mtoto wa kishua, ila sipendi kulala na mtu mda mrefu.
Nitalala nae, muda na kwa tukio maalamu bas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inapobidi Hakuna namna.... chukua chako mapema!!!Hakuna namna..
Maana siku hizi wanaume na wenyewe wamejanjaruka hawana uhakika kama tunaweza kushika mimba.
Matumizi ya P2 yanapitiliza siku hizi
ππππkichwa yako ni mbovu sanaMie sio mtoto wa kishua, ila sipendi kulala na mtu mda mrefu.
Nitalala nae, muda na kwa tukio maalamu bas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndo mana unazidi kuwa mjeuri kila uchwao
Hakuna kupoteza mudaπ€ͺπ€ͺInapobidi Hakuna namna.... chukua chako mapema!!!
Si tulikubaliana ubwabwa kwanza nyieKaa Kwa utulivu nikishapewa mimba na kuzaa nitabariki ndoa
Inapobidi Hakuna namna.... chukua chako mapema!!!Hakuna namna..
Maana siku hizi wanaume na wenyewe wamejanjaruka hawana uhakika kama tunaweza kushika mimba.
Matumizi ya P2 yanapitiliza siku hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha ya shule sitaki kukumbuka hata.Hii ya shule umenikumbusha, nimekaa hostel unatoka huko umechoka ufike basi upumzike unakutana na nyomi la kufa mtu, kelele sasa kama mpo stendi nilikua naboreka. Sasa na mtaani tena nikarundikane na watu hii hapana nshashindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kupoteza mudaπ€ͺπ€ͺ
Ipi hiyo
Njoo basi nawe uwe wa tano ππ tunalala kama ndiziMie sio mtoto wa kishua, ila sipendi kulala na mtu mda mrefu.
Nitalala nae, muda na kwa tukio maalamu bas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuishi na mie bas. [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hostel nimepigwa miexile hadi basi.
Unakuta hapo nimetoka na upako wangu huko yaani Dah!
Vurugu tu,kuna watu wanaongea yaani..na katika hizo mada unakuta hata cha kuchangia sina.
Mimi hata kama watu hawana shida,basi tu huwa napenda privacy...nikae kivyangu vyangu tu.
Weeee kuna channel ya naija leo wanapiga amapiano tu loooh,,wamejua kuni........[emoji3578]Ipi hiyo
π₯°π₯°ππππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuishi na mie bas. [emoji23][emoji23][emoji23]