Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi hostel nimepigwa miexile hadi basi.
Unakuta hapo nimetoka na upako wangu huko yaani Dah!

Vurugu tu,kuna watu wanaongea yaani..na katika hizo mada unakuta hata cha kuchangia sina.

Mimi hata kama watu hawana shida,basi tu huwa napenda privacy...nikae kivyangu vyangu tu.
 
Tuishi na mie bas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…