Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,177
Kibonge mwepesi 😂😂utakuwa kibonge kama mimi
Kibonge mwepesi 😂😂utakuwa kibonge kama mimi
Moja kwa moja kutoka bush moja linaitwaa IGWACHANYA mkoani Njombe nimekuja siku ya tatu leo,hapa ni mgahawani napata soda na maandazi makuubwa,hahaa so interesting.View attachment 1250670
NdiwooooooJamani jamani![]()




Shikamooo kakaMwanampotevu
Hmmmm
Shikamooo kaka



ila leo naona kuna mtu kaongezea nyingine aise siyo kwa ile shepu dada looh kuna watu mmechongwa mkachongeka!!
Wewe wa kusema hivyo kweli? Hadi nikakuwekea kabisa!!!
Kibonge mwepesi![]()
Mie baba yangu alikuwa ananiita pacha wake, yaani ni copy kabisa. I miss him.anaanzaje kuwa mzuri sasa?? Mama yangu ndiyo mzuri ila kwa bahati mbaya sijamfanana hata kope!!
Hukuridhika!!!!!Hivi kwa mawazo yako unadhani niliridhika??![]()
Sawa auntieHebu tulia auntie, wachache hivyo![]()
Mie baba yangu alikuwa ananiita pacha wake, yaani ni copy kabisa. I miss him.
Kwemaaa, its furahi dei 🙊Marahabaa mdogo wangu.....kwemaa?
Pole sana jamani auntie...Mie baba yangu alikuwa ananiita pacha wake, yaani ni copy kabisa. I miss him.


