Kivuruge niache kwani,
Nimetoka kufanya test asubuh, nkaingia chimbo nakutan na story ya kuzizima, ubongo umevurugana hapa, hata sielewi yaan.
Afu leo bado sijaamka na mtu, na sielew atakua wa uraian, JF, FB, twitter, chimbo au wapi.
Yaan hadi nimalizane na mtu, akili itatulia.