Selfika na JF: Snap it. Show it

Nkamu umenikana hadharani mara tatu kabla jogoo hajawika[emoji16][emoji16]
Afadhali umekuja maana tangu bei ya mafuta imepaa umepotea sana nkamu tafadhali jiselfishe tumekuhamu sanaa
Kwamba nimepotea na bei ya mafuta?

Nakukana zaidi ya Petro[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa mnaotumia App ya Jf hivi na nyie mnapata shida ya notification kama mimi? Notifications kibao zinanipita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…