Kabisa mkuu mie sitaki mazoea ujinga kabisa!! madogo ya olevo especially girls yanatuangusha sana wanawake kitaaluma vichwani mwao kumejaa mapenzi tu shenzzz zao!!
Kwasasa kiukweli tujitahidi sana kuwapa elimu ya afya lakini kuhusu kuwazuia juu ya hii ni kazi sana.
Jumatatu nilipokea vijana wa miaka 12 wanne kila mtu na mpenz wake, wamekuja kuomba ushauri watumie njia gani ya uzazi wa mpango
Kabisa mkuu mie sitaki mazoea ujinga kabisa!! madogo ya olevo especially girls yanatuangusha sana wanawake kitaaluma vichwani mwao kumejaa mapenzi tu shenzzz zao!!
Kwasasa kiukweli tujitahidi sana kuwapa elimu ya afya lakini kuhusu kuwazuia juu ya hii ni kazi sana.
Jumatatu nilipokea vijana wa miaka 12 wanne kila mtu na mpenz wake, wamekuja kuomba ushauri watumie njia gani ya uzazi wa mpango