Ila tatizo marehemu alikuwa na mdomo sana, tunamchekaaa.
Jifariji na Epl maana huna namna tena.. ni kama Arsenal akifail UEFA atasema lengo lao la kwanza lilikuwa ni ile kushiriki tu UEFA but deep down ni maumivuuu
Ila tatizo marehemu alikuwa na mdomo sana, tunamchekaaa.
Jifariji na Epl maana huna namna tena.. ni kama Arsenal akifail UEFA atasema lengo lao la kwanza lilikuwa ni ile kushiriki tu UEFA but deep down ni maumivuuu
Ila tatizo marehemu alikuwa na mdomo sana, tunamchekaaa.
Jifariji na Epl maana huna namna tena.. ni kama Arsenal akifail UEFA atasema lengo lao la kwanza lilikuwa ni ile kushiriki tu UEFA but deep down ni maumivuuu
Sisi hatukua na lengo la kushiriki tyuuh, tulikua na lengo la kunyanyua kwapa, bahati haijawa yetu bas tumeishia semi final,
Tunakuwa buzzy na EPL, huku tukijipanga na UEFA ijayo.
Sisi ndio tulikua tunatazamwa km wabebaji wa ndoo hii msimu huu, hata hawa waliotutoa hawaamini, na wanaoenda final wote wanatuzungumzia sie,
Sisi tunawatakia final njema, na mkaupige mwingi. Enjooooooooyyyy!!!!