Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜…πŸ˜… Prof Juma Kapuyanga mwalimu wenu alikuwa mmoja eeh 😎😎😎

hapana sio usangu.. waburushi wakwe zangu nitawatuma uwaoneshe mzigo kwanza πŸ˜…πŸ˜…
 
πŸ˜…πŸ˜… Prof Juma Kapuyanga mwalimu wenu alikuwa mmoja eeh 😎😎😎

hapana sio usangu.. waburushi wakwe zangu nitawatuma uwaoneshe mzigo kwanza πŸ˜…πŸ˜…
Hahahahaha...........Prof Kapuya alikuwa Dom leader wetu wakati tupo Jeshi la kujenga Taifa miaka Ile πŸ€ͺπŸ€ͺ

Naona unaogopa kutapeliwa, sisi Vijana wa Zamani hatujawahi kuwa Matapeli kama ninyi mlivyo, Muulize Mzee mwenzangu Chenge jinsi tulivyo waungwana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaona shamba la mchumba Nuzulati kaniomba nimuangalizie angalizie maendeleo yake maana anajisikia ka homa homa πŸ˜…πŸ˜….. nyie wazee wapiga deal sana
 
Unaona shamba la mchumba Nuzulati kaniomba nimuangalizie angalizie maendeleo yake maana anajisikia ka homa homa πŸ˜…πŸ˜….. nyie wazee wapiga deal sanaView attachment 2203935
Mpe hongera Mjukuu wangu, kumbe kile kitabu changu nilichowaandikia wosia Vijana cha "Kama mnataka Mali mtaipata shambani" alikisoma vizuri na kukielewa πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ™Š
 
Nipe hizo sifa Babu yake hapa Kwa malezi mazuri niliyompatia ikiwemo na kumpeleka Shule nzuri ya Upili na Chuo πŸ’ͺ
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ahaha siri ya kambi we mzeee.. siku hizi kumekuwa na case nyingi za wababa kulala na watoto wao sidanganyiki atii.. ila jua na enjoy sanaaa.. dunia kama yangu vile
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ahaha siri ya kambi we mzeee.. siku hizi kumekuwa na case nyingi za wababa kulala na watoto wao sidanganyiki atii.. ila jua na enjoy sanaaa.. dunia kama yangu vile
Wewe lazima nije nikupige faini siku ya kuja kuleta Posa, na kwenye hela ya Mali lazima nitake Koti la Suti kutoka Italia kabisa kukukomesha πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…