Nilianza kupoteza hamu ya kula, nilikuwa naweza kula vipande vinne vya mkate naona nimetosha.
Kuna siku nilikula kuku hata paja sikumaliza na chips kidoogo.
Nikaona kuna shida mahala, nilifunga kama wiki 2 nikinywa maji tu usiku ndipo nakula, sasa hivi niwekee nusu ya wali namaliza.