Sijui ni style hiyo au ilikuwa nyingine
🤣🤣 mshua wangu ni ananipigiaga wasap vdeo call, siku akapiga akanikuta na Style konki… akanambia kwanini umenyoa kama boda boda!? 😂😂😂
Next call nisikute hicho kiduku🤣🤣
Basi sahivi ni mwendo wa usabato tu
Sijui ni style hiyo au ilikuwa nyingine
🤣🤣 mshua wangu ni ananipigiaga wasap vdeo call, siku akapiga akanikuta na Style konki… akanambia kwanini umenyoa kama boda boda!? 😂😂😂
Next call nisikute hicho kiduku🤣🤣
Basi sahivi ni mwendo wa usabato tu
Ile mnaita kiwigi sijui? Me wakati mwingine uwa za kati naweka wave…
Hawa wazee wetu ni noma 🙌 alitukatazaga suruali, binafsi nilisikia.. dogo aligoma… yule mtoto ni vijora, skin jeans na pensi.. sketi akivaa ni ya shule
Mshua aliongea mpaka akasahau 🤣🤣🤣