Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh

Siyo wote wanataka kuzaa mapema wakishaoana.
 
Ona sasa. Mzee wa miaka 83 bado mtambo wake wa Nyuklia unafanya kazi. Ila ningemshauri apime DNA mapema. Kuna uwezekano mkubwa wa kubambikiwa (hasa kama ana vihela)


Hata Mrema anaweza akapata mtoto...Kule Naija nako Rais wa zamani Gen. Obasanjo nasikia kavuta pisi iko mid 20s japo naye yuko huko kwenye 80s. Men!

 
Kuna kitu kinashindikana kwa Mungu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…