Ndugu bado sijakutana na hizo mambo za kupata maswali ya kukera.
Nina dada tu ambaye kanambia dogo ukiolewa shela na gari juu yangu
Nina baba mkubwa ye anaulizaga mkwe wetu yuko wapi, nacheka tu yanaisha. Ananiambia usinionee aibu mimi mambo ya kitanzania sina
. .. yeye huyu amespend muda mwingi nje