Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,836
1. Mfumo dume. Bado umetamalaki. Ndiyo maana mwanaume anaoa...na mwanamke anaolewa. Na bahati nzuri/mbaya kitakwimu waolewaji ni wengi kuliko waoaji...yeah kwa utaratibu sahihi... Lakini changamoto ya umri pia itawatesa sana wanawake na jamii sijui kwanini huwa inawachukulia tofauti wanawake ambao umri umeenda ila hajaolewa tofauti na mwanaume ambae umri umeenda ila hajaoa... Hivi Kwanini??
[emoji16][emoji16]umenikumbusha ninarafikyang Sana toka tuko shule mm nikaendelea na shule yeye akafeli akaolewa yani ukiongea nae kilapoint "uolewe Basi na wew"Yaani kuolewa usiolewe wewe halafu anayehangaika mwingine.
Yaani sisi watanzania bwana[emoji38]
Wanasababisha watu wajisikie vibaya..yaani nakuelewa sana.
Mimi pia nina dada yangu,huwa najaribu kumuweka sawa kwamba asitafute kuridhisha watu ambao hata hawamnufaishi kwa chochote.
Ukweli mchungu huoShindwaaaa [emoji23]
Yaani kila kitu kina faida na hasara.[emoji16][emoji16]umenikumbusha ninarafikyang Sana toka tuko shule mm nikaendelea na shule yeye akafeli akaolewa yani ukiongea nae kilapoint "uolewe Basi na wew"
Nikawa nakuchukia nilivomaliza chuo sasa kelele zikazidi Tena yeye na mumewake ushauri nasaha wa kutosha
Miaka Mitano ya ndoa Mambo yakageuka Mara ugomvi kilasiku malalamiko Mara mtu kaachwa nikamuuliza nduguyangu unaniambiaje [emoji23][emoji23][emoji23]
Akanambia subiri kwanza kidogo usiolewe kwanza ndoa sio mchezo na hajaolewa Tena Hadi leo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaaa.....🤣🤣🤣🤣😂😂[emoji16][emoji16]umenikumbusha ninarafikyang Sana toka tuko shule mm nikaendelea na shule yeye akafeli akaolewa yani ukiongea nae kilapoint "uolewe Basi na wew"
Nikawa nakuchukia nilivomaliza chuo sasa kelele zikazidi Tena yeye na mumewake ushauri nasaha wa kutosha
Miaka Mitano ya ndoa Mambo yakageuka Mara ugomvi kilasiku malalamiko Mara mtu kaachwa nikamuuliza nduguyangu unaniambiaje [emoji23][emoji23][emoji23]
Akanambia subiri kwanza kidogo usiolewe kwanza ndoa sio mchezo na hajaolewa Tena Hadi leo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mnadate alafu hamuolewi kwa nini wakati nyie ni waremboHapana.
Narudia….
We’re single for not being married..
we’re not singlee sababu hatuko wenyewe… we date!!
Results of dating ndio hizo ndoa..
Mambo za sharing ni zako
Tunaiba ni wewe ndiyo umesema, mimi sipo huko.
hahaaaaaa!!!!!!😂😂😂Sasa mnadate alafu hamuolewi kwa nini wakati nyie ni warembo
Hivi kwa Tanzania takwimu zetu zikoje kuhusu idadi ya wanawake kwa wanaume? Zinakaribiana au kuna mpishano mkubwa? Kuna kitu nitakuuliza nikipata hizo data kwanza.Kungekuwa na shuhuda nyingi kama hizi; zingewasaidia sana single girls kutulia, kujitunza na kusubiri wakati wao. Kuna dada humu ni single mom; aliongea jinsi hiyo hali inavyomuumiza kwa jinsi ambavyo anaona ombwe kwenye maisha ya binti yake mdogo ambaye akiona tu Kila mwanaume anamuita "baba". Na maswali yake mengine like baba ndiyo yupo kule na wale watoto wake wazuri, mimi ni mbaya ndiyo maana hakai na sisi. What a trauma to an Innocent kid. Shuhuda kama hizi zingewanyamazisha hawa wajinga wanaolazimisha wenzao kuzaa hovyohovyo. Mtoto raha kwa kweli; ila ni raha pia kwake mtoto kama atakuja kwa utaratibuView attachment 2195134
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Mange yeye anaumia wapi? Lulu kama alianza kudate akiwa mdogo yeye inamuhusu nini? Mbona sioni cha maana alichoandika Mange kweli roho mbaya na wivu wa kijinga kazi sana.
Wewe wa humu ndio hao wa mtaani...tena unaweza kuta huyu handasome boy anaye kupa bp na shell ndio tunapigana nae atory kitaa anatuambia jinsi unavyo msumbuaga na text zako na jinsi anavyolichapaga takoo wakati wa style pendwa ya chuma mbogaWa humu siwataki, nitapambana na wa mtaani kwangu
Mange limelipua bomu .Bonge moja la bifu aisee
Mange kaanza kusema lulu kachafua Hali ya hewa wahi kwa app , sasa lulu akaja kushusha povu kwenye comment aisee kumbe Mange naye alikasirika akaanza kufukua makaburi aisee na kuanza kumsema mama yake lulu dah . .
Kaweka picha za lulu enzi yuko na vibukta aisee huku anamchamba baadae. Insta wakafta post anayomchamba ndo amehamia kwenye app huko msuto unaendelea
Nampenda lulu kwa hili Mange amekosea sana yeye amegeuka kuwa bully kwa wasanii kila siku yupo na umbeya usio na faida ..
Napenda ubuyu ila Hadi nimemunfollow Mange aisee linakera [emoji1787]
Dating sio ndoa, na sio lazima kila dating iishie kwenye ndoa. Wewe umewaoa wote uliodate nao?Sasa mnadate alafu hamuolewi kwa nini wakati nyie ni warembo
Wanawake ni wengi kuliko wanaume ama!🤔🤔🤔!!Hivi kwa Tanzania takwimu zetu zikoje kuhusu idadi ya wanawake kwa wanaume? Zinakaribiana au kuna mpishano mkubwa? Kuna kitu nitakuuliza nikipata hizo data kwanza.
Umeona video aliyoweka Jana?😂😂🤣Sasa Mange yeye anaumia wapi? Lulu kama alianza kudate akiwa mdogo yeye inamuhusu nini? Mbona sioni cha maana alichoandika Mange kweli roho mbaya na wivu wa kijinga kazi sana.
DuhSasa mnadate alafu hamuolewi kwa nini wakati nyie ni warembo
Sidate mume wa mtu na muda wakuolewa ukifika nitaolewa tu.Ukweli mchungu huo
Wewe una ndoa ngapi hadi sasa ukipigia idadi ya uliodate naoSasa mnadate alafu hamuolewi kwa nini wakati nyie ni warembo
Haya ushauri ndio huo mlishapewa kazi kwenu....sii mlikuwa mnatusema sie wanaume wa jf hatuna hela kumbe hamjui sie ndio wanaume bora kimbilie hao wa mihela wasasambue mbususu zenu.Kungekuwa na shuhuda nyingi kama hizi; zingewasaidia sana single girls kutulia, kujitunza na kusubiri wakati wao. Kuna dada humu ni single mom; aliongea jinsi hiyo hali inavyomuumiza kwa jinsi ambavyo anaona ombwe kwenye maisha ya binti yake mdogo ambaye akiona tu Kila mwanaume anamuita "baba". Na maswali yake mengine like baba ndiyo yupo kule na wale watoto wake wazuri, mimi ni mbaya ndiyo maana hakai na sisi. What a trauma to an Innocent kid. Shuhuda kama hizi zingewanyamazisha hawa wajinga wanaolazimisha wenzao kuzaa hovyohovyo. Mtoto raha kwa kweli; ila ni raha pia kwake mtoto kama atakuja kwa utaratibuView attachment 2195134
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mshangao unataka kusemaje mkuu!!🤔🤔😂!!