Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja tuanze na zoezi letu la kujiscrub
Mwaka huu ni urembo kwa kwenda kundasi

Nkamu nimekubali hali ya hewa ya Dodoma inapausha na hapo sijawahi kaa hata week mbili mfulululizo….. ila nikikaa siku tano naanza kuona mbona kama napauka flan hivi….hapa nna mawazo
nataka nikae nitafute vipodozi vinavyoendana na huku
 
Umeona eeeh?
Kwanza Dom maji yake tu magumu sana ..hakufai.

Tafuta tu chaurembo wetu.
 
Umeona eeeh?
Kwanza Dom maji yake tu magumu sana ..hakufai.

Tafuta tu chaurembo wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…