Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Mimi binafsi ya hao wengine sitaki kuyajua unless siku nyie wote muamue kutujulisha then nitalala hapa nisipitwe aisee. Kama umetusoma vizuri; our main concern was your marriage, mengine yalikuwa nyongeza tu. Ahsante sana kwa muda wako bosi lediKabisa.... nishatulia kitambo mimi ... Halafu Sitaki kutoa details za watu zitawachafua so wacha nibebe lawama hapa japo kuna mengi yaliyojificha msiyoyajua! I wish Ningekua na namna ya kuwaprove wrong kwa facts kabisa! ila sasa naanzaje!
Wacha bwanaNalindwaaa kila engo
Haaa mama mchungaji tangu cc zilipokoma humu nimeanzishiwa nyuzi sana mbona mara kuna nini Kati ya Mahondaw na September eleven Hayo madongo sasa!!! All is well im Happy now sina tabu namtu mie!Boss ledi sisi hatujakutuhumu. Mimi binafsi maswali yangu yalibase kwako wewe kama wewe. Nimekuja tu kushangaa unalalamika unapigwa majungu sijui kuanzishiwa threads; ndiyo concern yangu ikaja hapo; kwa nini wewe uhusishwe na ex ilhali mmeshaachana na kila mtu ana 50 zake? Na kingine kilichotushangaza ni ya wewe kuwa na
u-best friend na ex wako. Ingawa mwisho wa siku haya ni maisha yako; lililo shindikana huku kwetu, kwako linawezekana likawa rahisi sanaaaa
Utalala hapahapa kabisa!Mimi binafsi ya hao wengine sitaki kuyajua unless siku nyie wote muamue kutujulisha then nitalala hapa nisipitwe aisee. Kama umetusoma vizuri; our main concern was your marriage, mengine yalikuwa nyongeza tu. Ahsante sana kwa muda wako bosi ledi
Wacha bwana
Mjeda ni noma.
Hakika amejiongeza.
Kwahiyo kila sehemu kasoro jf tu?
Aaah hizo ni nyuzi za kawaida sana. Mahusiano yenu yalikuwa public cc kama zote; all of a sudden cc zimepotea; kweli ulitegemea watu wasijiulize maswali? Nyuzi za hivyo zisikukoseshe amani; ni gharama tu ndogo ya mahusiano ya public; with time yatapita tuHaaa mama mchungaji tangu cc zilipokoma humu nimeanzishiwa nyuzi sana mbona mara kuna nini Kati ya Mahondaw na September eleven Hayo madongo sasa!!! All is well im Happy now sina tabu namtu mie!
Em kalale huko 😁😁Utalala hapahapa kabisa!
Sema siyo mbaya..
Getini pale Mbinguni atakuwepo mdogo wako kukupepea🤣🏃🏾♀️
Aaah hizo ni nyuzi za kawaida sana. Mahusiano yenu yalikuwa public cc kama zote; all of a sudden cc zimepotea; kweli ulitegemea watu wasijiulize maswali? Nyuzi za hivyo zisikukoseshe amani; ni gharama tu ndogo ya mahusiano ya public; with time yatapita tu
Sijui kama tutaenda wote mbinguniWacha bwana
Mjeda ni noma.
Hakika amejiongeza.
Kwahiyo kila sehemu kasoro jf tu?
Usingizini umebana hadi mikononiEm kalale huko 😁😁
Ile yenu mtaenda🤣Sijui kama tutaenda wote mbinguni
Aah sikuwa nafahamu; hizo za kawaida sana. Hata tu huku nje mkiachana aaah wapendwa lazima wawaulize.Sasa ndio threads nilizokua nasemea!
Aaah hizo ni nyuzi za kawaida sana. Mahusiano yenu yalikuwa public cc kama zote; all of a sudden cc zimepotea; kweli ulitegemea watu wasijiulize maswali? Nyuzi za hivyo zisikukoseshe amani; ni gharama tu ndogo ya mahusiano ya public; with time yatapita tu
Usiniache muda ukifikaSijui kama tutaenda wote mbinguni
Aah sikuwa nafahamu; hizo za kawaida sana. Hata tu huku nje mkiachana aaah wapendwa lazima wawaulize.
Yameibukia wapi tena huko? Kama ni ya kuulizia kuhusu cc hayo yatakuwa yanakupwa na kujaa; kuna watu hadi leo hawajui kinachoendelea, so watauliza tu. Unless kuna mengineYalishapita ila nashangaa yameibukia wapi wakati hapa Kati hali ilikua shwari kabisa kila upande ulikua na furaha na amani teleeee.. ghaflaa tu yameibuka. something fishy !
Andaa bakshishiUsiniache muda ukifika
Endelea kuuliza maswali fikirishi mama mchungaji tunafatilia kimya kimya haya mahojiano ujueYameibukia wapi tena huko? Kama ni ya kuulizia kuhusu cc hayo yatakuwa yanakupwa na kujaa; kuna watu hadi leo hawajui kinachoendelea, so watauliza tu. Unless kuna mengine
Bakshishi utaikuta huko huko mbinguni usiwazeAndaa bakshishi