Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Coming in catwalks...
Let me put my hillson...
Ukiona nayumba sana ukuje unipokee nisianguke.... na hivi ni usiku....
Amarula ishafanya yake....
Coming in catwalks...
Let me put my hillson...
Ukiona nayumba sana ukuje unipokee nisianguke.... na hivi ni usiku....
Amarula ishafanya yake....
Thanks...
Nilitaka kuselfika ujue hizi sifa nimeona aibu 😘😜!mtoto mzuri mahondaw nimekumiss
Katika vitu mungu alikupendelea ni midomo yako, una tumidomo tuzuri sana..
Halafu rangi sasa, uwiiii, mtoto unawaka kama almasi..
Kifuani hapo ngoja nikae kimya, kuna picha yako moja niliiona mhhh.. Uko vizuri mrembo,
Mwisho kabisa ni suala zima la mzigo.. mzigo upo wa kutosha.
Nakupa 4.9 out of 5 hio 0.1 nimebakiza siku nikisikia sauti.
Kwema humu?
I do amarula when am calm......
Nipo MamaKwema mpendwa! umepotea sana dear!!
Nipo Mama
Kesho dear leo sina jipyaSelfii ya Pasaka jamani!!!😘
Kesho Kaka angu
Nipo nafanya pre-flight setup, inaweza ikanipita hio.Nilitaka kuselfika ujue hizi sifa nimeona aibu 😘😜!
Asante mkuu!!🙏
🙄🙄🙄 Basi pouwa mamy ngoja namie nikalale tu 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️😴😴😴😴😴Kesho dear leo sina jipya
Nkamu mwanzo ulivyokuwa unaweka nilidhani unakunywaHizo za Baba watoto mimi Asas na Coca zinanihusu.
Thank you Shimba, Happy Easter to you an ur family![]()





Leo Hapana mkuu nitatupia kesho!Nipo nafanya pre-flight setup, inaweza ikanipita hio.
But, hizo ndio sifa zako